Mawazo yenu

Hujasema lengo lako ni nini, kwa nini usitoe hiyo laini ya moderm ukaweka kwenye simu kisha utumie? Au internet ya hiyo moderm ina speed kuliko hiyo simu?

Ngoja watu wa simu waje wakuelekeze
 
Wataka usaidiweje?sababu unaweza kutumia internet apo thru simu yako au moderm.
 
Nachoitaji kujua nikuwa kinawezekana kitu kama hicho kama inawezekana kivipi yaan
 
logic ni kwamba anataka atumie moderm yake kama supplier wa internet kwenye simu yake kupitia hyo cable nafikri mm nmeelewa hvyo...
 
Cable ya otg haihusiki katika ishu ya kutumia internet.
Lakin sijaelewa unatak kutumia internet kwenye simu au kwenye pc?

Kama unataka kutumia kwenye pc huna haja ya kuzima data we iunganishe tu na pc, kama unataka kutumia kwenye simu, modem yako inatakiwa kua na uwezo wa kuwasha wifi hotspot hata hapa haitakua na ulazima wa kuzima data ni utawasha wifi kwenye simu yako na kuunganisha kwenye hotspot husika.
 
Inategemea na modem unayotumia, kama kuna android software yake then itapiga mzigo, kama hakuna then hadi mtu atengeneze, nenda play store kuna app inaitwa PPP Widget ujaribu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…