Jamani Mkono na wewe ni fisadi,chama basi kinanuka mafisadi,hadi wana sisiem wenzako wanalijua hilo.Kazi ipo wana JF.
Kuna mtu mmja namfahamu,naamini na wengine wanamfahamu pia kwamba alikua jambazi sugu,ilitokea siku moja akaiba dau kubwa na alipofanikiwa kupata lile bulungutu aliamua kuokoka na kununua vyombo vya muziki wa injili.
Je Mkono anaweza kulinganishwa na huyu?