Mawazo ya wana CCM

DUUUUU! It is very very very interesting BabaH! Siamini... labda mwandishi aliwasikiliza vibaya!!! Na kama ni kweli basi kwa asilimia 100 leo naamini pasi na shaka kuwa CCM NI CHAMA CHA MAJAMBAZI... Du... ngoja nikanywe maji kwanza kwani nimepata mshtuko si wa kawaida!!!!
 
Mawazo ya wabunge ni julimsho la mawazo ya waTanzania. Upuuzi huo uko si kwa viongozi au wabunge tu bali kwa Taifa zima la Tanzania. Unapoona Mbunge au Waziri anaongea upuuzi kama huu, basi ujue uzao wake wote (ama anaowawakilisha) nao unaupuuzi kama huu kwenye mbongo zao! Wahenga husema "mtoto wa nyoka ni nyoka".

Kama unabisha waulize wakazi wa Monduli (.. na zulia lao jekundu) au wakazi wa kiteto (.. walipoamua bila kufikiri).

Siku wananchi wakiamua kutofikiri kama Viongozi wao, basi viongozi wetu watabadilika! Tulionyesha mfano pale tulipokataa mawazo na fikira za wabunge wetu (kupitia kura za REDET), na matokeo baada ya hapo tumeona "RICHMOND" ilivyoshughulikiwa Bungeni ... na sasa tunasubiri EPA ...

Ni mimi na wewe wakuondoa "upuuzi" huu na wala si CCM kama chama!!
 
Jamani Mkono na wewe ni fisadi,chama basi kinanuka mafisadi,hadi wana sisiem wenzako wanalijua hilo.Kazi ipo wana JF.

Kuna mtu mmja namfahamu,naamini na wengine wanamfahamu pia kwamba alikua jambazi sugu,ilitokea siku moja akaiba dau kubwa na alipofanikiwa kupata lile bulungutu aliamua kuokoka na kununua vyombo vya muziki wa injili.

Je Mkono anaweza kulinganishwa na huyu?
 
Jamani Mkono na wewe ni fisadi,chama basi kinanuka mafisadi,hadi wana sisiem wenzako wanalijua hilo.Kazi ipo wana JF.

Kuna mtu mmja namfahamu,naamini na wengine wanamfahamu pia kwamba alikua jambazi sugu,ilitokea siku moja akaiba dau kubwa na alipofanikiwa kupata lile bulungutu aliamua kuokoka na kununua vyombo vya muziki wa injili.

Je Mkono anaweza kulinganishwa na huyu?

Hawa jamaa wamewadharau watanzania hadi kufikia kuhalalisha ufisadi kwa kutafutia sababu mbadala ? Tanzania tuna elekea kubaya .
 
Babah

Kweli viongozi wa CCM ni wapumbavu wa hali ya juu sana,


think BIG Re: Mawazo ya wana CCM

Mawazo ya wabunge ni julimsho la mawazo ya waTanzania. Upuuzi huo uko si kwa viongozi au wabunge tu bali kwa Taifa zima la Tanzania.

Unapoona Mbunge au Waziri anaongea upuuzi kama huu, basi ujue uzao wake wote (ama anaowawakilisha) nao unaupuuzi kama huu kwenye mbongo zao! Wahenga husema "mtoto wa nyoka ni nyoka".

Kama unabisha waulize wakazi wa Monduli (.. na zulia lao jekundu) au wakazi wa kiteto (.. walipoamua bila kufikiri).

Siku wananchi wakiamua kutofikiri kama Viongozi wao, basi viongozi wetu watabadilika! Tulionyesha mfano pale tulipokataa mawazo na fikira za wabunge wetu (kupitia kura za REDET), na matokeo baada ya hapo tumeona "RICHMOND" ilivyoshughulikiwa Bungeni ... na sasa tunasubiri EPA ...

Ni mimi na wewe wakuondoa "upuuzi" huu na wala si CCM kama chama!!

Mkuu Think Big,

Ujumbe wako ni mzito sana, yaaani viongozi wetu wakiwa wapumbavu, basi sisi wananchi ndio wapumbavu kuliko wao maana tunajua kuwa ni wapumbavu, halafu tunawachagua anyways, baadaye tunakuja kujaribu kuvikimbia vivuli vyetu huku Jambo Forums!
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom