Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature currently requires accessing the site using the built-in Safari browser.
Jamani Mkono na wewe ni fisadi,chama basi kinanuka mafisadi,hadi wana sisiem wenzako wanalijua hilo.Kazi ipo wana JF.
Kuna mtu mmja namfahamu,naamini na wengine wanamfahamu pia kwamba alikua jambazi sugu,ilitokea siku moja akaiba dau kubwa na alipofanikiwa kupata lile bulungutu aliamua kuokoka na kununua vyombo vya muziki wa injili.
Je Mkono anaweza kulinganishwa na huyu?
Babah
Kweli viongozi wa CCM ni wapumbavu wa hali ya juu sana,
think BIG Re: Mawazo ya wana CCM
Mawazo ya wabunge ni julimsho la mawazo ya waTanzania. Upuuzi huo uko si kwa viongozi au wabunge tu bali kwa Taifa zima la Tanzania.
Unapoona Mbunge au Waziri anaongea upuuzi kama huu, basi ujue uzao wake wote (ama anaowawakilisha) nao unaupuuzi kama huu kwenye mbongo zao! Wahenga husema "mtoto wa nyoka ni nyoka".
Kama unabisha waulize wakazi wa Monduli (.. na zulia lao jekundu) au wakazi wa kiteto (.. walipoamua bila kufikiri).
Siku wananchi wakiamua kutofikiri kama Viongozi wao, basi viongozi wetu watabadilika! Tulionyesha mfano pale tulipokataa mawazo na fikira za wabunge wetu (kupitia kura za REDET), na matokeo baada ya hapo tumeona "RICHMOND" ilivyoshughulikiwa Bungeni ... na sasa tunasubiri EPA ...
Ni mimi na wewe wakuondoa "upuuzi" huu na wala si CCM kama chama!!