Mawazo ya Biashara Yaliyo wafanikisha watu.

Mawazo ya Biashara Yaliyo wafanikisha watu.

Obed maagi

Member
Joined
May 24, 2024
Posts
30
Reaction score
35
Ni muda sasa umepita na watu wengi wamekuwa wakichangia mijadala na kutoa Thread mbalimbali kuhusu mawazo ya biashara, na muongozo wa uendeshaji wa biashara ni muda rasmi kila mmoja alifanikiwa kupitia wazo la biashara kutoka Jukwaa hili la biashara kutoa ushuhuda wa wazo na namna alivyofanya utekelezaji na kufanikiwa katika wazo hilo.
 
Wazo langu ni kuanzisha machnjio ya ngombe na kusambaza nyama mjini kuwa na gari za kusambazia nahitaji million 25 kufanikisha hili mini hiyo dar au zanzibar
 
Back
Top Bottom