Mawazo huru: Tujikite katika masuala muhimu ya kimaendeleo

Mawazo huru: Tujikite katika masuala muhimu ya kimaendeleo

eng.yumbu

Member
Joined
Mar 1, 2015
Posts
65
Reaction score
22
Kila kona sasa hivi utasikia UKAWA,ACT na CCM maswala mengine nyeti kama kilimo kwanza ujasria mali na uhuru wa fikira...vijana

Tumejisahau, ikumbukwe kwamba maendeleo ya yetu ni kwa kiasi kidogo sana yanaweza kutokana na uamzi wetu wa kuchagua kiongozi makini..
Hapa cha msingi tujikite katika maswala yetu ya maendeleo kwa kutumia rasilimali tulizo nazo...tupeane ujuzi ni jinsi gani tunaweza kutumia elimu zetu tulizo nazo kubadilisha mstakabali wanchi yetu na jamii zetu kwa ujumla.

Aidha kama sisi tukijipanga tukawa na maono chanya, hapo tunataomba kiongozi ajaye afanye yapi kufanikisha malengo yetu ( fulfilment of the requirements).

No one will make your own life..
 
Back
Top Bottom