Mawaziri wote wa Magufuli wajiuzulu Wamwache na Makonda wake!

TL. Marandu

JF-Expert Member
Jul 12, 2015
3,625
5,807


Kauli za Magufuli Juzi kumsifia Makonda Licha ya Uhuni, Upumbavu, na Ujambazi aliowafanyia Clouds Tv na Watanzania Kwa Ujumla. Ni wazi Kuwa inaweka Mazingira Ambayo Ni fedheha sana na Kujidhalilisha kuwa Waziri Katika Serikali ya Magufuli.

Magufuli anapambana Kuua Ushindani wa Demokrasia Nchini na Akimaliza Kudhoofisha Demokrasia Wanaccm wasidhani watakuwa ndio wameshinda! Magufuli atawageukia na Kuwakatia Vichwani Viongozi wa CCM wakkwemo Wabunge. Wakati huo Itabidi kutembea kwa Magoti mbele za huyu Bwana ili upitishwe kwenye kura za maoni! Na huna pa kukimbilia.

Maoni yangu Ni Kuwa Kumnyoosha Magufuli Mawaziri wote wa CCM ambao wako Principled, wajiuzulu wote kwa mpigo (Najua watakuwepo wasio na kuona mbali watabaki) Lakini nina imani angalau Nusu wataliona hili, Hawana cha Kupoteza after all Bado ni Wabunge na Ni fedheha na Mateso sana Kumfanyia Kazi Rais Mjuaji kama Magufuli.

Kisha Baada ya Kujiuzulu wawashawishi Wabunge wengine wa CCM ambao wako competent, kuwa Magufuli akiwaomba kuwateua Wamkataliwe. Mwacheni Asimamie Serikali yeye na Daudi Bashite! Najua wapo Maninii Kama Lusinde hao msiwajali. Mimi Naamini hakuna hata sababu ya Impeachment wakimfanyia hii Backdoor impeachment atanyooka mwenyewe kama mbwa aliyekatwa mkia. Au ajiuzulu mwenyewe Wana CCM wengine waliotulia Wachukue Nafasi yake. Vinginevyo Naona Maono kuwa Mahufuli atawanyanyasa sana Viongozi wa CCM mpaka watashindwa Kuamini. Actually ameshaanza Ndogo ndogo Tayari.
 
Even half of them Itamtikisa hasa na Atashika adabu. Hawana la Kupoteza Kwani Bado ni Wabunge. Pia watakuwa wameondokana na Kudhalilishwa na Kufanyiwa Ujuaji Kila siku. Kwa kipi hasa wanachokipata Headache Tupu Kufanya Kazi Chini ya huyu Bwana Asiyesikia la mtu!
 
Kwanza angalia kwenye dictionary maana na neno NJAA halafu urudi tena. Huoni January na Mwigulu wameamua Kula mishahara ya bure bila kufanya kazi. Kiherehere cha Ummy Mwalimu kimeishia wapi?

Jamaa anawatreat Kama Watoto Kabisa!
 


Kauli za Magufuli Juzi kumsifia Makonda Licha ya Uhuni, Upumbavu, na Ujambazi aliowafanyia Clouds Tv na Watanzania Kwa Ujumla. Ni wazi Kuwa inaweka Mazingira Ambayo Ni fedheha sana na Kujidhalilisha kuwa Waziri Katika Serikali ya Magufuli.

Magufuli anapambana Kuua Ushindani wa Demokrasia Nchini na Akimaliza Kudhoofisha Demokrasia Wanaccm wasidhani watakuwa ndio wameshinda! Magufuli atawageukia na Kuwakatia Vichwani Viongozi wa CCM wakkwemo Wabunge. Wakati huo Itabidi kutembea kwa Magoti mbele za huyu Bwana ili upitishwe kwenye kura za maoni! Na huna pa kukimbilia.

Maoni yangu Ni Kuwa Kumnyoosha Magufuli Mawaziri wote wa CCM ambao wako Principled, wajiuzulu wote kwa mpigo (Najua watakuwepo wasio na kuona mbali watabaki) Lakini nina imani angalau Nusu wataliona hili, Hawana cha Kupoteza after all Bado ni Wabunge na Ni fedheha na Mateso sana Kumfanyia Kazi Rais Mjuaji kama Magufuli.

Kisha Baada ya Kujiuzulu wawashawishi Wabunge wengine wa CCM ambao wako competent, kuwa Magufuli akiwaomba kuwateua Wamkataliwe. Mwacheni Asimamie Serikali yeye na Daudi Bashite! Najua wapo Maninii Kama Lusinde hao msiwajali. Mimi Naamini hakuna hata sababu ya Impeachment wakimfanyia hii Backdoor impeachment atanyooka mwenyewe kama mbwa aliyekatwa mkia. Au ajiuzulu mwenyewe Wana CCM wengine waliotulia Wachukue Nafasi yake. Vinginevyo Naona Maono kuwa Mahufuli atawanyanyasa sana Viongozi wa CCM mpaka watashindwa Kuamini. Actually ameshaanza Ndogo ndogo Tayari.

CCM ina members elfu kenda hata wakijiuzuru mawaziri wote, atateua wengine tupo tumejaa.
 
CCM ina members elfu kenda hata wakijiuzuru mawaziri wote, atateua wengine tupo tumejaa.
Uko Funny Magufuli hawezi Kumteua Waziri asiye Mbunge. Na wabunge wa Kuteua anao nafikiri 15 tu kwa Katiba, sio rahisi unavyodhani. Na alishazitumia Nafasi zake zote Nadhani.
 
CCM wanako kamsemo "ukisusa, wenzio twala". Njaa mbaya sana. Afu lijichama limewatengeneza wabachama kuishi kwa woga, kutojiamini na Unafiki unafiki. Jambo hilo linaweza kufanywa kokote duniani lakini sio kwa nchi hii.
 
Back
Top Bottom