Huwa najiuliza sana pamoja na usanii wa kugawa uwaziri kwa mikoa bado wilaya ya ulanga imepata upendeleo wa kuwa na mawaziri wawili kombani na huyu wa afya lakin wameshindwa kutetea hata barabara ya kutoka kilombero ifakar mpka ulanga .wanadhan 2015 ni mbali. kwel mawazir kama hawa ni mzigo kwa jimbo na taifa
Bado kitambo kidogo tu mtapata maendeleo. Niliona taarifa ya habr barabara bado ileile ya zama za mawe. Kwenye baraza jipya wote hawatakuwemo hao. Huyo mama alilishwa kasa na Jk akatangaze eti hakuna katiba mpya, itawekwa viraka hyhy ya zamani. Kesho yake JK magazetiniii anatangaza kuunda katiba mpya. Achana na ****** ww. Huyo mwingne ndio kabsa ameuonja uwazr shortly.k
Na nguruwe, kwa sababu yeye anazo kwato, ni mwenye miguu iliyopasuka kati, lakini hacheui, yeye ni najisi kwenu.
Msiile nyama yao, wala msiiguse mizoga yao; hao ni najisi kwenu. (Mambo ya Walawi 11:07-08)
Huwa najiuliza sana pamoja na usanii wa kugawa uwaziri kwa mikoa bado wilaya ya ulanga imepata upendeleo wa kuwa na mawaziri wawili kombani na huyu wa afya lakin wameshindwa kutetea hata barabara ya kutoka kilombero ifakar mpka ulanga .wanadhan 2015 ni mbali. kwel mawazir kama hawa ni mzigo kwa jimbo na taifa
Kama vp mtolee uvivu huyu Bi Kombani kwa CDM ang'oke pale 2015 pale U/mash.Kwa huku U/magharibi tayari kuna vjana wameshajipanga kumwangusha yeyote atayeletwa na magamba 2015
Bado kitambo kidogo tu mtapata maendeleo. Niliona taarifa ya habr barabara bado ileile ya zama za mawe. Kwenye baraza jipya wote hawatakuwemo hao. Huyo mama alilishwa kasa na Jk akatangaze eti hakuna katiba mpya, itawekwa viraka hyhy ya zamani. Kesho yake JK magazetiniii anatangaza kuunda katiba mpya. Achana na ****** ww. Huyo mwingne ndio kabsa ameuonja uwazr shortly.k
Na nguruwe, kwa sababu yeye anazo kwato, ni mwenye miguu iliyopasuka kati, lakini hacheui, yeye ni najisi kwenu.
Msiile nyama yao, wala msiiguse mizoga yao; hao ni najisi kwenu. (Mambo ya Walawi 11:07-08)