armanisankara
JF-Expert Member
- Jul 15, 2011
- 283
- 49
KITENDO cha Rais kuteua mawaziri kuongoza wizara ambazo zinashughulika na masuala ambayo si taaluma walizozisomea, kimepingwa na wananchi ambao wametaka mawaziri hao wateuliwe katika wizara ambazo wana taaluma nazo.