Mawaziri wapya na azimio la arusha!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

Mawaziri wapya na azimio la arusha!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

mchambakwao

Member
Joined
Dec 9, 2011
Posts
77
Reaction score
14
Wakuu Heshimu kwenu!
Nimekaa na kutafakari sana kuhusu Azimio la Arusha,ingawa kulikuwa na baadhi ya vipengele ambavyo havikuwa sahihi kwa wakati tulio nao vingeondolewa ila vile vinavyohusu uongozi na utawala bora vingeachwa maana hapa tulipo sasa hali ni mbaya serikalini hasa kwenye masuala mazima ya ubadhirifu wa mali ya umma.
Kwa ni nini hili Azimio la Arusha lisirudishwe,lina mapungufu gani kwenye Utawala Bora na Viongozi wa Umma?





Nawasilisha!
 
Wakuu Heshimu kwenu! Nimekaa na kutafakari sana kuhusu Azimio la Arusha,ingawa kulikuwa na baadhi ya vipengele ambavyo havikuwa sahihi kwa wakati tulio nao vingeondolewa ila vile vinavyohusu uongozi na utawala bora vingeachwa maana hapa tulipo sasa hali ni mbaya serikalini hasa kwenye masuala mazima ya ubadhirifu wa mali ya umma. Kwa ni nini hili Azimio la Arusha lisirudishwe,lina mapungufu gani kwenye Utawala Bora na Viongozi wa Umma? Nawasilisha!
Mods,

...Itakuwa vyema kama hii post itaunganishwa na ile ya Willy Malecela, inayoongelea Azimio la Arusha.

mchambakwao,

...Hebu shiriki na sisi kwenye hiyo "kutafakari sana" yako. Angalau masuala machache haitakuwa vibaya, ili tujadili.
 
Kwanza Nusu ya Wabunge wote hawatakuwa wabunge kwa sababu mbalimbali za Miiko ya Uongozi za Azimio la Arusha

Pili Mali za wabunge wengi zimepatikana kinyume cha sheria Ufisadi zitataifishwa

Tatu Kuna baadhi ya Wabunge, Mawaziri, Wakuu wa Mkoa na Wakuu wa wilaya wameteuliwa kwa sababu ya Undugu au

Ushirikina na Uongozi wa Juu wa Chama au Upendeleo sababu ya kufahamiana wote hao watakatwa panga

** KWA CCM YA SASA HAIWEZEKANI
 
Back
Top Bottom