Inashangaza sana mawaziri wetu wameamua kuwa masikini, wanakili hawanakitu.
Huu uongo ni mbaya kuliko mambo yote muliowahi kufanya huko nyumba.
Afu kwa bahati mbaya, kwa Sasa kila kitu kiko kwenye mtandao.
Ni maadili ya kazi tu ndio yanafanya watu wasilete nyaraka. Ila unaumiza sana.
Guys Guys.. kuweni na huruma na hii nchi.