Mawasiliano na mpenzi wako

Cathelin

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2018
Posts
2,071
Reaction score
3,997
Hi,

Vipi wakuu Ni mawasiliano gani unayapenda;. Yale ya kuwasiliana na mpenzi wako Mara kwa mara yaani asubui, mchana,jioni na usiku, au Ile ya asubui na usiku basi.

Au Yale ya kuwasiliana Leo mtachekiana Tena kesho yake, au Yale ya kuwasiliana Mara moja kwa wiki.

Wewe unapenda mawasiliano yapi Kati ya hayo?
 
Yani uwasiliane na mpenzi wako muda wote kwani huna shughuli ya kufanya? Umekula sijui umefanya nini😏😏😏

Wakati mwingine ukishamjulia hali njoo na mipango ya kufanya kuongeza kipato.sio kila saa umekula!umeoga 🥵🥵haya sijala nilishe 🤨🤨
 
Me kwa kwel unawez kuchukua hata cku tatu cjawasiliana nae na ninajion nik normal tu
 
dear sikuweziiiiiii.
 
Umeshazeeka dear anaeuliza yupo kwao anakula ugali wamama hivo havijui.
 
Nafkr mawasiliano mara 1 ✘ 1 yr inapendeza.
 
Kweli kabisa hizi sms za gud morning gorgeous, umeamkaje inafika sehemu zinakuwa kawaida.
Raha bwana ni kuwasiliana wakati mnataka kunyanduana na pia mawasiliana mazuri ni yale ya kukutana live...have a proper conversation.
 
Ya kujuliana hali ya kiafya na kimaendeleo... Ki afya ni mara mbili kwa week na kimaendeleo ni mara moja kwa mwezi. Over
 
Umekula my?!!!!

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…