Mnyamahodzo
JF-Expert Member
- May 23, 2008
- 1,932
- 985
Mawakala wa CHADEMA katika uchaguzi Arumeru Mashariki wamezuiwa kuingia ndani ya vituo vya kupigia kura kwa zaidi ya saa nzima.
Joshua Nassari akifanya mahojiano na Antony Joseph wa Radio WAPO saa 2:27 asb alisema "nimezunguka vituo 6 kote walikuwa wanazuiliwa hadi nilipofika. Nipo ofisi ya Msimamizi wa Uchaguzi naingia ili anipe maelezo kwa nini imekuwa hivi"
Source: Radio WAPO
My take: CCM nchi si yenu peke yenu.
Joshua Nassari akifanya mahojiano na Antony Joseph wa Radio WAPO saa 2:27 asb alisema "nimezunguka vituo 6 kote walikuwa wanazuiliwa hadi nilipofika. Nipo ofisi ya Msimamizi wa Uchaguzi naingia ili anipe maelezo kwa nini imekuwa hivi"
Source: Radio WAPO
My take: CCM nchi si yenu peke yenu.