Arnold Zephania
Member
- Oct 17, 2019
- 32
- 23
Habari,
Kwa muda sasa nimekua nikipata maumivu ya kichwa kuuma upande mmoja na kujiskia vibaya.
Kabla kichwa hakijaanza kuuma huwa jicho linakua kama halioni vizur then maumivu yaananza kwa mbali baada ya hapo kiganja cha mkono hufa ganzi kwa dakika kadhaa then upande mmoja wa mdomo hufa ganzi, baada ya hapo kichwa huuma sana kukiambatana na kujiskia vibaya.
Nilijaribu hospitalini lakin hawakuona kitu, kwa muda wa miaka 4 hali hii ilitulia lakin hivi karibuni imejirudia tena.
Msaada tafadhal.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa muda sasa nimekua nikipata maumivu ya kichwa kuuma upande mmoja na kujiskia vibaya.
Kabla kichwa hakijaanza kuuma huwa jicho linakua kama halioni vizur then maumivu yaananza kwa mbali baada ya hapo kiganja cha mkono hufa ganzi kwa dakika kadhaa then upande mmoja wa mdomo hufa ganzi, baada ya hapo kichwa huuma sana kukiambatana na kujiskia vibaya.
Nilijaribu hospitalini lakin hawakuona kitu, kwa muda wa miaka 4 hali hii ilitulia lakin hivi karibuni imejirudia tena.
Msaada tafadhal.
Sent using Jamii Forums mobile app