Davies_007
Member
- Apr 22, 2010
- 59
- 0
Wakuu Naumwa na Jino ile mbaya, hivi dawa ya Jino nin kama sitaki kulitoa?
Pole sana pamoja na ushauri wa mkuu hapo, kama halijawa katika hali mbaya sana jaribu pia kutengeneza dawa hii ambayo mimi niliisikia kwa Dk. Ndodi nikaitengeneza nikaitumia kwa kweli kwangu ilinisaidia mpaka sasa nina ahueni maana meno yalianza kutoboka mpaka nikaogopa nisigebaki kibogoyo.
Niliichukua ndulele (ndula) mbili zilizokomaa vizuri na kuwa za njano zenye kubwa nikakata katikati pamoja na malimao mawili yaliyokomaa vizuri lakini yana rangi ya kijani nayo nikakata katikati kisha nikachemsha baada ya kuiva (kama dk 15) epua nikachanganyachanganya (squeeze) kwa kutumia mikono safi kisha nikachuja, halafu nikadondoshea matone matano ya mafuta ya taa nikakoroga vizuri na kijicho. Kila nimalizapo kula usiku nahakisha nimeshapiga mswaki na kuondoa mabaki yote ya vyakula kwenye meno na kuwa sitakula kitu kingine 'then' nachukua vijiko vitatu vya chakula vya hiyo dawa nasukutua kwa muda wa dk 15 - 20 kisha natema naenda kulala. nilifanya hivyo kwa muda wa siku tatu (ndio dozi) baada ya hapo nikapona hivyo bado nadunda nilisevu kwenda kung'oa. labda side effect niliyoiona ni meno kufa ganzi wakati uko kwenye dozi ila inakwisha mara baada ya kumaliza dozi. So ukipenda unaweza kujaribu au vipi muone daktari wa meno.
Ila suala la usafi wa meno ni muhimu ni vyema kuhakisha unapiga mswaki vuzuri asubuhi na jioni kabla ya kulala najua sio rahisi kupiga mswaki kila umalizapo kula kama taratibu za afya zinavyotaka ila asubuhi na jioni ni muhimu kwa kweli.
Wakuu Naumwa na Jino ile mbaya. hivi dawa ya Jino nin kama sitaki kulitoa?
INAONEKANA UNAOGOPA SANA DAWA AU UNAAMINI dAWA ZA HOSPITALI TU NDIO ZINAWEZA KUMALIZA MATATIZO YAKO.mmh mkuu hiyo dawa yako kiboko nina tatizo la meno kama yako ila hiyo dawa yako.. please hebu kuwa serious
INAONEKANA UNAOGOPA SANA DAWA AU UNAAMINI dAWA ZA HOSPITALI TU NDIO ZINAWEZA KUMALIZA MATATIZO YAKO.
HIYO DAWA NI NZURI UKITUMIA HAUMEZI UNATEMA; UKIMEZA NI SUMU. MIMI NIMETUMIA NA IMENISAIDIA SIWEZI MSHAURI MTU KITU AMBACHO SIJAKITUMIA.
pole sana pamoja na ushauri wa mkuu hapo, kama halijawa katika hali mbaya sana jaribu pia kutengeneza dawa hii ambayo mimi niliisikia kwa dk. Ndodi nikaitengeneza nikaitumia kwa kweli kwangu ilinisaidia mpaka sasa nina ahueni maana meno yalianza kutoboka mpaka nikaogopa nisigebaki kibogoyo.
Niliichukua ndulele (ndula) mbili zilizokomaa vizuri na kuwa za njano zenye kubwa nikakata katikati pamoja na malimao mawili yaliyokomaa vizuri lakini yana rangi ya kijani nayo nikakata katikati kisha nikachemsha baada ya kuiva (kama dk 15) epua nikachanganyachanganya (squeeze) kwa kutumia mikono safi kisha nikachuja, halafu nikadondoshea matone matano ya mafuta ya taa nikakoroga vizuri na kijicho. Kila nimalizapo kula usiku nahakisha nimeshapiga mswaki na kuondoa mabaki yote ya vyakula kwenye meno na kuwa sitakula kitu kingine 'then' nachukua vijiko vitatu vya chakula vya hiyo dawa nasukutua kwa muda wa dk 15 - 20 kisha natema naenda kulala. Nilifanya hivyo kwa muda wa siku tatu (ndio dozi) baada ya hapo nikapona hivyo bado nadunda nilisevu kwenda kung'oa. Labda side effect niliyoiona ni meno kufa ganzi wakati uko kwenye dozi ila inakwisha mara baada ya kumaliza dozi. So ukipenda unaweza kujaribu au vipi muone daktari wa meno.
Ila suala la usafi wa meno ni muhimu ni vyema kuhakisha unapiga mswaki vuzuri asubuhi na jioni kabla ya kulala najua sio rahisi kupiga mswaki kila umalizapo kula kama taratibu za afya zinavyotaka ila asubuhi na jioni ni muhimu kwa kweli.
dah, hiyo makini sana ila mixture yake babkubwa. Are you serious rubi?
mimi nilisubuliwa na jino nilishindwa kufanya kazi kwa siku tatu nilipokwenda hospitali nilishauriwa kuliondoa lakini waliniambia ni hatari sana, rafiki yangu alinichimbia mizizi ya ndulele akanichemshia nikasukutua kwa siku mara tatu sikuamini kabisa sijaliondoa jino langu. Naamini ndulele ni dawa ya meno tofauti ni utumiaji tu.dah, hiyo makini sana ila mixture yake babkubwa. Are you serious rubi?
Aisee Jino Limetoboka tu, ila naogopa kulitoa coz niliambiwa kutoa jino la juu ni Hatari sana
mmh mkuu hiyo dawa yako kiboko nina tatizo la meno kama yako ila hiyo dawa yako.. please hebu kuwa serious
Wahi kwa Dentist haraka iwezekanavyo..akiliona anaweza kukushauri ung'oe au la...isije ikawa ni root canal, maumivu yake si mchezo na inahitaji matibabu haraka..
Hiyo dawa yako mkuu inachokifanya ni kuua mishipa ya faham kwenye jino hivo maumivu huisha kwan nerves zinazofanya uhis maumivu umeziua na mawasiliano hamna,(mf. sawa na paralysis ya guu au mkono) kama jino hilo limetoboka litaendelea kupukutika mpaka liishe pasipo luleta maumivu.Pole sana pamoja na ushauri wa mkuu hapo, kama halijawa katika hali mbaya sana jaribu pia kutengeneza dawa hii ambayo mimi niliisikia kwa Dk. Ndodi nikaitengeneza nikaitumia kwa kweli kwangu ilinisaidia mpaka sasa nina ahueni maana meno yalianza kutoboka mpaka nikaogopa nisigebaki kibogoyo.
Niliichukua ndulele (ndula) mbili zilizokomaa vizuri na kuwa za njano zenye kubwa nikakata katikati pamoja na malimao mawili yaliyokomaa vizuri lakini yana rangi ya kijani nayo nikakata katikati kisha nikachemsha baada ya kuiva (kama dk 15) epua nikachanganyachanganya (squeeze) kwa kutumia mikono safi kisha nikachuja, halafu nikadondoshea matone matano ya mafuta ya taa nikakoroga vizuri na kijicho. Kila nimalizapo kula usiku nahakisha nimeshapiga mswaki na kuondoa mabaki yote ya vyakula kwenye meno na kuwa sitakula kitu kingine 'then' nachukua vijiko vitatu vya chakula vya hiyo dawa nasukutua kwa muda wa dk 15 - 20 kisha natema naenda kulala. nilifanya hivyo kwa muda wa siku tatu (ndio dozi) baada ya hapo nikapona hivyo bado nadunda nilisevu kwenda kung'oa. labda side effect niliyoiona ni meno kufa ganzi wakati uko kwenye dozi ila inakwisha mara baada ya kumaliza dozi. So ukipenda unaweza kujaribu au vipi muone daktari wa meno.
Ila suala la usafi wa meno ni muhimu ni vyema kuhakisha unapiga mswaki vuzuri asubuhi na jioni kabla ya kulala najua sio rahisi kupiga mswaki kila umalizapo kula kama taratibu za afya zinavyotaka ila asubuhi na jioni ni muhimu kwa kweli.
Huo muda ni sahihi kabisa maana ndio dawa inapenya kwenye jino na kuua wale wadudu sasa ukitaka mudo wako mwenyewe hutapona daina sikiliza ushauri wa daktari.Hiyo iko sawa kabisa,,,ila wasiwasi wangu ni huo muda wa dk15-20 wa kusukutua naona kama ni muda mwingi mno!! Isn't 3minutes?? Side effect nyingine nikuwa,jiandae kutokwa na mate mengi sana mpaka kero,,,,,hii si kwa watu wote. Nina mifano hai,kuna watu wamepona kabisaaa.
Hiyo dawa yako mkuu inachokifanya ni kuua mishipa ya faham kwenye jino hivo maumivu huisha kwan nerves zinazofanya uhis maumivu umeziua na mawasiliano hamna,(mf. sawa na paralysis ya guu au mkono) kama jino hilo limetoboka litaendelea kupukutika mpaka liishe pasipo luleta maumivu. ANGALIZO: Kuendelea kukaa na jino lililo toboka si salama kwa afya yako ingawa halina maumivu kwan kuna mawasiliano kati ya nje na ndan kupitia hilo tundu kwny jino kwahiyo waweza kujikuta siku moja unaamka na kujikuta umevimba ingawa hukusikiamaumivu hapo awali. Kwa ufupi simshauri mtu kuitumia hiyo dawa ya Ndodi inafanya root canal isiyo rasmi hata kwa meno ambayo yangezibwa kwa njia za kawaida. alafu si kila jino linalouma litafanyiwa matibabu hayo, ndugu kuna visababishi vingi vya maumivu kinywani vivyo hivyo na matibau yake!