Maumivu ya jino

Limetoboka hadi kwenye nerve? Kama limetoboka hakuna ujanja, labda ung'oe ama wakufanyie root canal
Kama bado je lina usaha? Kama lina usaha jaribu kunywa antibiotics (amokslini). na make sure kuwa uwe unalisafisha kuondoa mabaki ya chakula. Pia uache kula pipi na biscuits au chokolate

Kitu cha muhimu hapo nenda kwa Dakitari wa meno, anaweza kukupa ushauri wa kutosha kabisa. By the way ukipata dactari mzuri atakung'oa jino taratibu.
Pole sana.
 
Aisee Jino Limetoboka tu, ila naogopa kulitoa coz niliambiwa kutoa jino la juu ni Hatari sana
 
Pole sana pamoja na ushauri wa mkuu hapo, kama halijawa katika hali mbaya sana jaribu pia kutengeneza dawa hii ambayo mimi niliisikia kwa Dk. Ndodi nikaitengeneza nikaitumia kwa kweli kwangu ilinisaidia mpaka sasa nina ahueni maana meno yalianza kutoboka mpaka nikaogopa nisigebaki kibogoyo.

Niliichukua ndulele (ndula) mbili zilizokomaa vizuri na kuwa za njano zenye kubwa nikakata katikati pamoja na malimao mawili yaliyokomaa vizuri lakini yana rangi ya kijani nayo nikakata katikati kisha nikachemsha baada ya kuiva (kama dk 15) epua nikachanganyachanganya (squeeze) kwa kutumia mikono safi kisha nikachuja, halafu nikadondoshea matone matano ya mafuta ya taa nikakoroga vizuri na kijicho.

Kila nimalizapo kula usiku nahakisha nimeshapiga mswaki na kuondoa mabaki yote ya vyakula kwenye meno na kuwa sitakula kitu kingine 'then' nachukua vijiko vitatu vya chakula vya hiyo dawa nasukutua kwa muda wa dk 15 - 20 kisha natema naenda kulala. nilifanya hivyo kwa muda wa siku tatu (ndio dozi) baada ya hapo nikapona hivyo bado nadunda nilisevu kwenda kung'oa. labda side effect niliyoiona ni meno kufa ganzi wakati uko kwenye dozi ila inakwisha mara baada ya kumaliza dozi. So ukipenda unaweza kujaribu au vipi muone daktari wa meno.

Ila suala la usafi wa meno ni muhimu ni vyema kuhakisha unapiga mswaki vuzuri asubuhi na jioni kabla ya kulala najua sio rahisi kupiga mswaki kila umalizapo kula kama taratibu za afya zinavyotaka ila asubuhi na jioni ni muhimu kwa kweli.
 
Pole sana pamoja na ushauri wa mkuu hapo, kama halijawa katika hali mbaya sana jaribu pia kutengeneza dawa hii ambayo mimi niliisikia kwa Dk. Ndodi nikaitengeneza nikaitumia kwa kweli kwangu ilinisaidia mpaka sasa nina ahueni maana meno yalianza kutoboka mpaka nikaogopa nisigebaki kibogoyo.

Niliichukua ndulele (ndula) mbili zilizokomaa vizuri na kuwa za njano zenye kubwa nikakata katikati pamoja na malimao mawili yaliyokomaa vizuri lakini yana rangi ya kijani nayo nikakata katikati kisha nikachemsha baada ya kuiva (kama dk 15) epua nikachanganyachanganya (squeeze) kwa kutumia mikono safi kisha nikachuja, halafu nikadondoshea matone matano ya mafuta ya taa nikakoroga vizuri na kijicho. Kila nimalizapo kula usiku nahakisha nimeshapiga mswaki na kuondoa mabaki yote ya vyakula kwenye meno na kuwa sitakula kitu kingine 'then' nachukua vijiko vitatu vya chakula vya hiyo dawa nasukutua kwa muda wa dk 15 - 20 kisha natema naenda kulala. nilifanya hivyo kwa muda wa siku tatu (ndio dozi) baada ya hapo nikapona hivyo bado nadunda nilisevu kwenda kung'oa. labda side effect niliyoiona ni meno kufa ganzi wakati uko kwenye dozi ila inakwisha mara baada ya kumaliza dozi. So ukipenda unaweza kujaribu au vipi muone daktari wa meno.

Ila suala la usafi wa meno ni muhimu ni vyema kuhakisha unapiga mswaki vuzuri asubuhi na jioni kabla ya kulala najua sio rahisi kupiga mswaki kila umalizapo kula kama taratibu za afya zinavyotaka ila asubuhi na jioni ni muhimu kwa kweli.


mmh mkuu hiyo dawa yako kiboko nina tatizo la meno kama yako ila hiyo dawa yako.. please hebu kuwa serious
 
Wakuu Naumwa na Jino ile mbaya. hivi dawa ya Jino nin kama sitaki kulitoa?

Wahi kwa Dentist haraka iwezekanavyo..akiliona anaweza kukushauri ung'oe au la...isije ikawa ni root canal, maumivu yake si mchezo na inahitaji matibabu haraka..
 
mmh mkuu hiyo dawa yako kiboko nina tatizo la meno kama yako ila hiyo dawa yako.. please hebu kuwa serious
INAONEKANA UNAOGOPA SANA DAWA AU UNAAMINI dAWA ZA HOSPITALI TU NDIO ZINAWEZA KUMALIZA MATATIZO YAKO.

HIYO DAWA NI NZURI UKITUMIA HAUMEZI UNATEMA; UKIMEZA NI SUMU. MIMI NIMETUMIA NA IMENISAIDIA SIWEZI MSHAURI MTU KITU AMBACHO SIJAKITUMIA.
 
INAONEKANA UNAOGOPA SANA DAWA AU UNAAMINI dAWA ZA HOSPITALI TU NDIO ZINAWEZA KUMALIZA MATATIZO YAKO.

HIYO DAWA NI NZURI UKITUMIA HAUMEZI UNATEMA; UKIMEZA NI SUMU. MIMI NIMETUMIA NA IMENISAIDIA SIWEZI MSHAURI MTU KITU AMBACHO SIJAKITUMIA.


sio kuwa naogopa dawa... halafu katika vitu ambavyo huwa na imani navyo ni njia mbadalay a kutibu ungonjwa... mi ni mpinzani namna moja sana wa dawa za hospital sema elimu za njia mbadala ya kutibu maradhi mbalimbali ndio zinatupita pembeni anyway nitajaribu na nikipona nitakiuja kutoa ushuhuda hapa.. thanx for the tip
 
pole sana pamoja na ushauri wa mkuu hapo, kama halijawa katika hali mbaya sana jaribu pia kutengeneza dawa hii ambayo mimi niliisikia kwa dk. Ndodi nikaitengeneza nikaitumia kwa kweli kwangu ilinisaidia mpaka sasa nina ahueni maana meno yalianza kutoboka mpaka nikaogopa nisigebaki kibogoyo.

Niliichukua ndulele (ndula) mbili zilizokomaa vizuri na kuwa za njano zenye kubwa nikakata katikati pamoja na malimao mawili yaliyokomaa vizuri lakini yana rangi ya kijani nayo nikakata katikati kisha nikachemsha baada ya kuiva (kama dk 15) epua nikachanganyachanganya (squeeze) kwa kutumia mikono safi kisha nikachuja, halafu nikadondoshea matone matano ya mafuta ya taa nikakoroga vizuri na kijicho. Kila nimalizapo kula usiku nahakisha nimeshapiga mswaki na kuondoa mabaki yote ya vyakula kwenye meno na kuwa sitakula kitu kingine 'then' nachukua vijiko vitatu vya chakula vya hiyo dawa nasukutua kwa muda wa dk 15 - 20 kisha natema naenda kulala. Nilifanya hivyo kwa muda wa siku tatu (ndio dozi) baada ya hapo nikapona hivyo bado nadunda nilisevu kwenda kung'oa. Labda side effect niliyoiona ni meno kufa ganzi wakati uko kwenye dozi ila inakwisha mara baada ya kumaliza dozi. So ukipenda unaweza kujaribu au vipi muone daktari wa meno.

Ila suala la usafi wa meno ni muhimu ni vyema kuhakisha unapiga mswaki vuzuri asubuhi na jioni kabla ya kulala najua sio rahisi kupiga mswaki kila umalizapo kula kama taratibu za afya zinavyotaka ila asubuhi na jioni ni muhimu kwa kweli.


dah, hiyo makini sana ila mixture yake babkubwa. Are you serious rubi?
 
dah, hiyo makini sana ila mixture yake babkubwa. Are you serious rubi?
mimi nilisubuliwa na jino nilishindwa kufanya kazi kwa siku tatu nilipokwenda hospitali nilishauriwa kuliondoa lakini waliniambia ni hatari sana, rafiki yangu alinichimbia mizizi ya ndulele akanichemshia nikasukutua kwa siku mara tatu sikuamini kabisa sijaliondoa jino langu. Naamini ndulele ni dawa ya meno tofauti ni utumiaji tu.
Jaribu kama utapenda lakini maji usimeze.
 
Aisee Jino Limetoboka tu, ila naogopa kulitoa coz niliambiwa kutoa jino la juu ni Hatari sana

Si kweli.mi nisha ng'oa meno ma 2 ya juu na 1 la chini miaka 9 iliyopita yana maumivu sawa.Na daktar aliyening'oa ni mtaalam sikuhisi maumivu tena baada tu ya kung'oa.Upo mkoa gan au wilaya gan nikupe maelekezo
 
mmh mkuu hiyo dawa yako kiboko nina tatizo la meno kama yako ila hiyo dawa yako.. please hebu kuwa serious

Hiyo iko sawa kabisa,,,ila wasiwasi wangu ni huo muda wa dk15-20 wa kusukutua naona kama ni muda mwingi mno!! Isn't 3minutes?? Side effect nyingine nikuwa,jiandae kutokwa na mate mengi sana mpaka kero,,,,,hii si kwa watu wote. Nina mifano hai,kuna watu wamepona kabisaaa.
 
Wote hapa mnaongelea kung'oa au dawa mbadala hamna alieongelea kuziba,mimi nimeziba kama manne na moja lina miaka 10 ni mbinu nzuri sana.
 
Wahi kwa Dentist haraka iwezekanavyo..akiliona anaweza kukushauri ung'oe au la...isije ikawa ni root canal, maumivu yake si mchezo na inahitaji matibabu haraka..

Root cal treatment ni aina ya matibabu ya meno, ambapo jino linauliwa kwa kuondoa kiini (pulpu) na sehem ya katikati ya mzizi wa jino (canal) husafishwa, ili kuondoa infection ambayo inaweza kuwa imefika huko. Baada ya kujiridhisha kuwa maambukizi yameisha (maumivu hua yamekoma na antibiotic zaweza kutumuka) jino huzibwa kuanzia mwisho wa mzizi (apex) mpaka kujengwa sura halisi ya jino kama lilivo kuwa kabla ya kutoboka.

Jino huendelea kuwepo na kutumika kama kawaida na pasipo maumivu lakini jino hilo siyo hai.Kwakweli there so many things to know in dentistry whether ua a dental practitioner or not ni muhim kujua kwan ni sehem ya afya zetu.

Please fana dental check up atleast twice a year,usiende dental clinic kwa kusukumwa na maumivu kuna mengi hufanywa huko twendeni na tuwatumie ma dentist si wakati wa maumivu tu bali hata kwenye mpangilio mbaya wa meno kinywani kwani nayo huongeza chance za jino kutoboka.

Kukaa naugonjwa kinywani inaweza kukuingiza ktk complikeshen au kukugharim maisha.
 
Pole sana pamoja na ushauri wa mkuu hapo, kama halijawa katika hali mbaya sana jaribu pia kutengeneza dawa hii ambayo mimi niliisikia kwa Dk. Ndodi nikaitengeneza nikaitumia kwa kweli kwangu ilinisaidia mpaka sasa nina ahueni maana meno yalianza kutoboka mpaka nikaogopa nisigebaki kibogoyo.

Niliichukua ndulele (ndula) mbili zilizokomaa vizuri na kuwa za njano zenye kubwa nikakata katikati pamoja na malimao mawili yaliyokomaa vizuri lakini yana rangi ya kijani nayo nikakata katikati kisha nikachemsha baada ya kuiva (kama dk 15) epua nikachanganyachanganya (squeeze) kwa kutumia mikono safi kisha nikachuja, halafu nikadondoshea matone matano ya mafuta ya taa nikakoroga vizuri na kijicho. Kila nimalizapo kula usiku nahakisha nimeshapiga mswaki na kuondoa mabaki yote ya vyakula kwenye meno na kuwa sitakula kitu kingine 'then' nachukua vijiko vitatu vya chakula vya hiyo dawa nasukutua kwa muda wa dk 15 - 20 kisha natema naenda kulala. nilifanya hivyo kwa muda wa siku tatu (ndio dozi) baada ya hapo nikapona hivyo bado nadunda nilisevu kwenda kung'oa. labda side effect niliyoiona ni meno kufa ganzi wakati uko kwenye dozi ila inakwisha mara baada ya kumaliza dozi. So ukipenda unaweza kujaribu au vipi muone daktari wa meno.

Ila suala la usafi wa meno ni muhimu ni vyema kuhakisha unapiga mswaki vuzuri asubuhi na jioni kabla ya kulala najua sio rahisi kupiga mswaki kila umalizapo kula kama taratibu za afya zinavyotaka ila asubuhi na jioni ni muhimu kwa kweli.
Hiyo dawa yako mkuu inachokifanya ni kuua mishipa ya faham kwenye jino hivo maumivu huisha kwan nerves zinazofanya uhis maumivu umeziua na mawasiliano hamna,(mf. sawa na paralysis ya guu au mkono) kama jino hilo limetoboka litaendelea kupukutika mpaka liishe pasipo luleta maumivu.

ANGALIZO
Kuendelea kukaa na jino lililo toboka si salama kwa afya yako ingawa halina maumivu kwan kuna mawasiliano kati ya nje na ndan kupitia hilo tundu kwny jino kwahiyo waweza kujikuta siku moja unaamka na kujikuta umevimba ingawa hukusikiamaumivu hapo awali.

Kwa ufupi simshauri mtu kuitumia hiyo dawa ya Ndodi inafanya root canal isiyo rasmi hata kwa meno ambayo yangezibwa kwa njia za kawaida. alafu si kila jino linalouma litafanyiwa matibabu hayo, ndugu kuna visababishi vingi vya maumivu kinywani vivyo hivyo na matibau yake!
 
Hiyo iko sawa kabisa,,,ila wasiwasi wangu ni huo muda wa dk15-20 wa kusukutua naona kama ni muda mwingi mno!! Isn't 3minutes?? Side effect nyingine nikuwa,jiandae kutokwa na mate mengi sana mpaka kero,,,,,hii si kwa watu wote. Nina mifano hai,kuna watu wamepona kabisaaa.
Huo muda ni sahihi kabisa maana ndio dawa inapenya kwenye jino na kuua wale wadudu sasa ukitaka mudo wako mwenyewe hutapona daina sikiliza ushauri wa daktari.
 
Hiyo dawa yako mkuu inachokifanya ni kuua mishipa ya faham kwenye jino hivo maumivu huisha kwan nerves zinazofanya uhis maumivu umeziua na mawasiliano hamna,(mf. sawa na paralysis ya guu au mkono) kama jino hilo limetoboka litaendelea kupukutika mpaka liishe pasipo luleta maumivu. ANGALIZO: Kuendelea kukaa na jino lililo toboka si salama kwa afya yako ingawa halina maumivu kwan kuna mawasiliano kati ya nje na ndan kupitia hilo tundu kwny jino kwahiyo waweza kujikuta siku moja unaamka na kujikuta umevimba ingawa hukusikiamaumivu hapo awali. Kwa ufupi simshauri mtu kuitumia hiyo dawa ya Ndodi inafanya root canal isiyo rasmi hata kwa meno ambayo yangezibwa kwa njia za kawaida. alafu si kila jino linalouma litafanyiwa matibabu hayo, ndugu kuna visababishi vingi vya maumivu kinywani vivyo hivyo na matibau yake!



mmh veri veri resonable chalenge... but anyway its worth trying... finger crossed!
 
Back
Top Bottom