Zamani kulikuwa na jukwaa zuri sana humu liliitwa JF Dr, lilifundisha mengi ya afyaHabari za kazi...
Napata maumivu chini ya kichwa cha uume kwenye mshipa wakati nakojoa.....
Naomba mwenye ushauri juu ya hilo...
Hah asitishike bure UTI hiyo ila akpime
SababuHabari za kazi.
Napata maumivu chini ya kichwa cha uume kwenye mshipa wakati nakojoa.
Naomba mwenye ushauri juu ya hilo.