Maulid Kitenge, propaganda ulizotumwa kuzifanya kwa wana-Ngorongoro hazitakuacha salama

Masai watoke ngorongoro..kwanza mmekuwa kero tu, watoto wenu wanashinda kwenye camps wakiomba chakula, hawaendi shule, wanajifanya wanachunga ng'ombe pembeni mwa camps, na wake zenu wakiomba viporo vya chakula wawapelekee waume zao nyumbani. Wanaume wamebaki kunywa gongo wakisubiri wanawake warudi na viporo vya ugali vya jana, such a lazy tribe. Kuishi kwa kutegemea mwanamke akutafutie!! Wake zenu wameishia kufanya kazi za kufua kwenye camps na kupigwa miti. Wengi wameambukizwa ukimwi na magonjwa ya zinaa. Tunajua maisha yenu ya aibu. Ni muda sasa muondoke mkajitegemee huko duniani kuliko kuishi maisha ya aibu kiasi kile
 
Facts zilizoshiba, ambazo ni zuzu tu ndo anaweza kuzikataa
 
Una upumbavu mwingi sana!
 
Kwa bahati mbaya ndo ukweli wenyewe
Wewe unafanya nini kwenye camps? Wewe sio omba omba?
BTW: Hakuna jamii ambayo wote wanajiweza. Kila jamii ina wachache ambao hawajiwezi na wanaweza kuangukia kwenye kuomba omba.
Tuambie wewe ni kabila gani tukuambie omba omba wa kabila lako wanakopatikana mjinga wewe.
 
Nawajua wamasai vilivyo, kuanzia wa Monduli, Ngorongoro, Loliondo, na Simanjiro..wadanganye hao hao wasiowajua Masai
 
Hoja ni kwamba, hao watu ipo siku watazidi na hiyo itasababisha wanyama kukimbia kutokana na makazi ya binadamu kukua zaidi.

Kwa mtindo wa sasa, ngorongoro miaka 50 ijayo haitakuwepo.
Mnatetea nini hamna mantiki zaidi ya kuhama, shughuli za binadamu nazo zipunguzwe, wale matajiri wajanja wanaowapa ng'ombe nao waondoshe tu
 
Nawajua wamasai vilivyo, kuanzia wa Monduli, Ngorongoro, Loliondo, na Simanjiro..wadanganye hao hao wasiowajua Masai
Wewe ndio muongo. Hujaulizwa kama unawajua au huwajui. Hata sisi tunawajua jamii nyunhi tu. Wengine tumezunguka hii nchi mikoa yote. Sasa kama wewe ni muongoza watalii, usijione unawajua wamasai.
 
Wewe ndio muongo. Hujaulizwa kama unawajua au huwajui. Hata sisi tunawajua jamii nyunhi tu. Wengine tumezunguka hii nchi mikoa yote. Sasa kama wewe ni muongoza watalii, usijione unawajua wamasai.
Ngorongoro mtaondoka.. after 2 weeks kuna kikosi maalumu kitaenda huko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…