Shemeji yuko flexible sana eeh?
Labda yupo flexible sis wanene mifupa haikunjiki
Tuachen tuu na style zetu
Ha ha ha mi unanichekeshaga tu story zako na hicho ki avatarnipe pole
we kila majanga yanayonikuta unaenjoy tu!
Salam Kwenu Wadau
mwenzenu siku ya leo imekuwa tofauti
kuchunguliachungulia....si nikatoka na kitu!!
nikaona nami ngoja nikamsuprise baby
heheheheh...hata alivyojichoropoa mwilin mwangu sijui ,ila nakumbuka nilirushwa na teke moja hatari sana, na mchezo ukaishia hapohapo....akasema eti 'namfundisha tabia mbaya!'
jamani tuache kuparamia maujuzi ya mtandaoni, lasivyo uwe umewasiliana na mpenzio kama atalidhia!!
Ndo hivyo mwenzenu nimejifunza sasa!
Nawasilisha!
Ha ha ha mi unanichekeshaga tu story zako na hicho ki avatar
Salam Kwenu Wadau
mwenzenu siku ya leo imekuwa tofauti
kuchunguliachungulia....si nikatoka na kitu!!
nikaona nami ngoja nikamsuprise baby
heheheheh...hata alivyojichoropoa mwilin mwangu sijui ,ila nakumbuka nilirushwa na teke moja hatari sana, na mchezo ukaishia hapohapo....akasema eti 'namfundisha tabia mbaya!'
jamani tuache kuparamia maujuzi ya mtandaoni, lasivyo uwe umewasiliana na mpenzio kama atalidhia!!
Ndo hivyo mwenzenu nimejifunza sasa!
Nawasilisha!
Salam Kwenu Wadau
mwenzenu siku ya leo imekuwa tofauti
kuchunguliachungulia....si nikatoka na kitu!!
nikaona nami ngoja nikamsuprise baby
heheheheh...hata alivyojichoropoa mwilin mwangu sijui ,ila nakumbuka nilirushwa na teke moja hatari sana, na mchezo ukaishia hapohapo....akasema eti 'namfundisha tabia mbaya!'
jamani tuache kuparamia maujuzi ya mtandaoni, lasivyo uwe umewasiliana na mpenzio kama atalidhia!!
Ndo hivyo mwenzenu nimejifunza sasa!
Nawasilisha!
Wewe apo nimekumisi!
Afu nna kesi yako!
Naomba ujilete mwenyewe piemo! Na ole wako usije!
Labda yupo flexible sis wanene mifupa haikunjiki
Tuachen tuu na style zetu