Majigo
JF-Expert Member
- Feb 23, 2012
- 5,519
- 1,825
Salam Kwenu Wadau,
Mwenzenu siku ya leo imekuwa tofauti kuchunguliachungulia....si nikatoka na kitu!! nikaona nami ngoja nikamsuprise baby heheheheh...hata alivyojichoropoa mwilini mwangu sijui ,ila nakumbuka nilirushwa na teke moja hatari sana, na mchezo ukaishia hapohapo....akasema eti 'namfundisha tabia mbaya!'
Jamani tuache kuparamia maujuzi ya mtandaoni, lasivyo uwe umewasiliana na mpenzio kama atalidhia!
Ndo hivyo mwenzenu nimejifunza sasa!
Nawasilisha!
Mwenzenu siku ya leo imekuwa tofauti kuchunguliachungulia....si nikatoka na kitu!! nikaona nami ngoja nikamsuprise baby heheheheh...hata alivyojichoropoa mwilini mwangu sijui ,ila nakumbuka nilirushwa na teke moja hatari sana, na mchezo ukaishia hapohapo....akasema eti 'namfundisha tabia mbaya!'
Jamani tuache kuparamia maujuzi ya mtandaoni, lasivyo uwe umewasiliana na mpenzio kama atalidhia!
Ndo hivyo mwenzenu nimejifunza sasa!
Nawasilisha!