Henge
JF-Expert Member
- May 14, 2009
- 6,933
- 1,510
Ukweli woote tunaujua na tunajua kuwa shule za kata bado duni saana,
Tunajua hakuna walimu
Hakuna madawati
Hakuna maabara
Umeme hakuna
Hakuna computer japo 1 tu
Hakuna maktaba
Hakuna Vitabu
kwa hiyo ni kweli kuwa ni shule za walala hoi ukizingatia watoto wao hawasomi shule hizo
Ilikuwa haki watoto kuandika yooote hayo, hakuna haja ya kuwa mkali.
Kama Baba tafuta njia yakuyakabili hayo.
Tunajua hakuna walimu
Hakuna madawati
Hakuna maabara
Umeme hakuna
Hakuna computer japo 1 tu
Hakuna maktaba
Hakuna Vitabu
kwa hiyo ni kweli kuwa ni shule za walala hoi ukizingatia watoto wao hawasomi shule hizo
Ilikuwa haki watoto kuandika yooote hayo, hakuna haja ya kuwa mkali.
Kama Baba tafuta njia yakuyakabili hayo.