Mauajii ya dereva tax

Mauajii ya dereva tax

bagi

JF-Expert Member
Joined
Nov 7, 2011
Posts
1,811
Reaction score
1,865
dereva tax kauawa mitaa ya gymkana na raia wa kigeni.source tbc fm.
 
Du! Yani nimepita hapo kwenye mkuyu nikaona taxi ikiwa ikiwa 'full light' imepaki pembeni ya barabara na mtu mmoja akiwa chini, polisi mmoja na mtu mwingine aliyevaa kiraia. Nilivyoona (huku naendesha gari) haikuwa
 
Du! Yani nimepita hapo kwenye mkuyu nikaona taxi ikiwa ikiwa 'full light' imepaki pembeni ya barabara na mtu mmoja akiwa chini, polisi mmoja na mtu mwingine aliyevaa kiraia. Haikuwa rahisi kutambua kama mtu alikuwa ameuawa.
 
Ni kweli ameuwawa, nimesikiliza Wapo Radio, na wauwaji wamekamatwa
 
dereva tax kauawa mitaa ya gymkana na raia wa kigeni.source tbc fm.
Dereva taxi kauawa akiwa na raia wa kigeni ama muuaji ni raia wa kigeni?
Habari yako vijana wa HKE wataiita 'tungo tata'
 
mbona habari hii haieleweki?mleta uzi huu,ana uhakika kweli na anachosema?Tafadhari tunaomba anaejua habari hii atujuze kwa upana zaidi.
 
Dereva taxi kauawa akiwa na raia wa kigeni ama muuaji ni raia wa kigeni?
Habari yako vijana wa HKE wataiita 'tungo tata'

HKE ni mchepuo gani huo mkuu?au unamaanisha HKL?RIP dereva taksi.

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom