hawa ni active wakati wa uchaguzi tu, usiwaponze hiyo zone sasa hivi ni ya moto.Mbaya zaidi wauwaji hawaonekani ili serikali ifanye hata mazungumzo nao.Chanzo ni siasa na wala sio kitu kingine ndio maana wanao lengwa ni watu wenyemafungamano na chama cha siasa ukichunguza vizuri utangundua hawa watu wengine (mapolisi na migambo) wamekuwa wakiuliwa baada ya kuingilia kati kusaidia upande wa siasa.
Ushauli wangu ni ile timu yetu ya Green Guide na yenyewe iingilie kati katika kuimarisha ulinzi wa viongozi wetu wa chama isiwe tu ni kakundi ka wakati wa vikao na kampeni.
hakuna issue ya kisiasa hapo,kama ni siasa tungeona mauaji kama hayo Arusha,Kilimanjaro au Pemba.Mbaya zaidi wauwaji hawaonekani ili serikali ifanye hata mazungumzo nao.Chanzo ni siasa na wala sio kitu kingine ndio maana wanao lengwa ni watu wenyemafungamano na chama cha siasa ukichunguza vizuri utangundua hawa watu wengine (mapolisi na migambo) wamekuwa wakiuliwa baada ya kuingilia kati kusaidia upande wa siasa.
Ushauli wangu ni ile timu yetu ya Green Guide na yenyewe iingilie kati katika kuimarisha ulinzi wa viongozi wetu wa chama isiwe tu ni kakundi ka wakati wa vikao na kampeni.
Hii hoja yako ni ya uchonganishi baina ya serikali na vyama vya upinzani kwani swala la kibiti linajulikana na ni jepesi sana kulitatua kama utatumia akili nyingi nguvu chache kwa taarifa nilizozipata baada ya kufatiria na kama Mimi nimeweza kuzipata basi ata jeshi la polisi watakuwa wanalifaham tatizo linalopelekea mauaji hayohuenda vyama vya upinzani hapa nchi vinajua kiini cha mauaji yaliyotokea na yanayoendelea huko mkoani pwani hususani mkuranga na kibiti, hii ni kutokana na nature ya matukio yenyewe kwani yanaitikadi za kisiasa
wanaouliwa ni watu toka chama tawala na serikali kwa ujumla wake huku vyama vya upinzani vikiwa salama kabisa
Kamanda Sirro kachukua hatua nzuri kabisa ya awali lakini zaidi ili kupiga hatua kubwa kuyakomesha na kumaliza majambazi haya ni kuushirikisha upinzani tanzania!
Sirro kaa na wapinzani watakuambia kwanini wanauliwa viongozi wa Ccm na serikali kwa ujumla wake!
hii itakupa abc pa kuanzia hata kama wao sio wahusika wa moja kwa moja
Wasijaribu kabisahawa ni active wakati wa uchaguzi tu, usiwaponze hiyo zone sasa hivi ni ya moto.
Kwa mtazamo wangu siasa ndio chanzo kwakuzingatia potentialities za kiuharifu zilizopo kule .hakuna issue ya kisiasa hapo,kama ni siasa tungeona mauaji kama hayo Arusha,Kilimanjaro au Pemba.
nikweli wangelivunwa kama karangahawa ni active wakati wa uchaguzi tu, usiwaponze hiyo zone sasa hivi ni ya moto.
Therefore......!?!?Hivi hakuna siku hili jambo limekataliwa kujadiliwa bungeni???