wiseboy.
JF-Expert Member
- Aug 11, 2014
- 2,931
- 4,549
Nimevutiwa na mvutano mkubwa ktk thread ya pasco inayohusu mauaji ya mahabusu mwz,aliyenivutia kabisa ni huyu UCD kumchimba mkwara wiseboy kuwa atakamatwa kama mwenzake wa fb na kisha kuteswa kisa alichangia kushabikia mauaji ya police stakishari,kama kweli upelelezi wa police unaweza kujikita ktk kukamata mchangiaji tu wa mtandaoni basi hawana uwezo wowote wa kudhibiti uhalifu,binafsi sipendi kabisa mtu yoyote apoteze maisha ila kwa hali ilivyo hivi sasa kuna watu wanafurahia kusikia police kauawa,kwanini wanafurahi? kuna raia wengi hapa Tz wameuawa na police bila hatia,binafsi nina ndugu yangu alifia mikononi mwa police kwa kipigo,kosa lake lilikuwa ugoni na si jambazi,vijana wafanyabiashara wa madini wa mahenge waliuawa na police na kisha kuporwa pesa zao na kusingiziwa ujambazi,Daud mwangosi aliuawa na police na hakuwa na hatia,sasa wewe UCD unadhani hawa ndugu wa wahanga wakisikia police kauawa watastikika? la hasha, watafurahi,hata Marekani kumekuwepo na mauaji ya kisasi dhidi ya police kwa vitendo vyao