Mauaji ya mtoto wangu

Afrikaaaa....yani wameon awadai kwanza milioni ili wazike...zaidi upuuzi wa hali ya juu.....inhumanity ....huyo p[olisi wao kakuweka ndani ili iweje..shida nyingine..upande wa uchunguzi taaluma imezingatiwa....sasa kingine mtoto kazaliwa tu unaletewa wakati anahitaji anyonye ziwa la mama...ni kama wamekasirika wakakusuia......pia hawajielewi....kama hadi mtu wa karibu anasema huyo mama mchawi n amazingira yale basi ni mshirikina..ila sasa isue ku prove mahakamni....etc...ila dah bya duniani mengi ya binadamu mengi
 
Mimi ningepitia hali hiyo uliyopitia wewe ningechanganyikiwa!
 
RIP young boy, Mungu atakulipia ndugu, pole sana!
 
Mchawi no 1 ni Mzazi mwenzio? Mtoto wa siku 20? Hii inaingiaje akilini? Hata angeenda kusoma anaacha mtoto?

Hivi Mungu anasubiri nini kuadhibu watu kama hawa? Watu hatujazaa tunalea watoto wa watu kwa upendo Leo huyu mshenzy anamtelekeza mtoto kijinga? Hii imeniuma sana uchungu wa mtoto aujuae sio mama
 
aisee!ngumu kusahau!muangalie na wanawake wa kuzaa nao!we kitoto kina siku 20 umekomaza msuli kukiachisha jamani !arggggh!pole sana
kaka
nimeumia mno
 

sema wew3e!sijui wengine labour hawapatagi uchungu?
 
aisee!ngumu kusahau!muangalie na wanawake wa kuzaa nao!we kitoto kina siku 20 umekomaza msuli kukiachisha jamani !arggggh!pole sana
kaka
nimeumia mno
ni hivyo mkuu, wanawake wengine wana akili mbovu
 
Mkasa unasisimua balaaa...!!!
Hadi nakosa chakusema.
But all in all pole kwa maswaibu
 
Pole sana mkuu,muachie Mungu yeye ndiye mlipaji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…