Nicholas
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 25,260
- 7,217
Ndio mtajua kwanini ccm huwa nawaita laana na mods wa JF wanajifanya wana akili wanafuta au kuedit.MKICHOMA ITALIPA BIMA YETU WAKATI WANALIPA NYINGI KTK BIMA ZA MATAIFA YAO.PENGINE MUAMUA CHOMA KWA MPANGO ILI KM TUTALIPA BASI TULIPE FOR GOOD NA IWE MWISHO.Natabiri "watachoma moto uwekezaji na nyumba ya muwekezaji" NI UTABIRI NA WALA SI UCHOCHEZI.