Hatimaye mauaji ya CCM yamepewa msamiati mwingine zaidi baada ya mbunge wa Ludewa kusema wakati akihutubia wapiga kura wake waliokwenda kumpokea kuwa
hata kama wakinikolimba leo wataibuka akina Zitto wengi kupinga ufisadi
source habari ITV Tar. 14/5/2011 kauli hii ya mbunge wa CCM imekuja siku chache baada ya Nape Nauye kumpinga Mwenyekiti wa CHADEMA kuwa tuhuma anazotoa dhidi ya CCM kuhusika na Mauaji ni kufilisika kisiasa. sasa kama hata mbunge wa CCM anajua kuwa CCM inaua Je Nape ana usemi mwingine zaidi ya hapo?
kutokana kuwa HORACE KOLIMBA alikuwa mbunge wa Ludewa na kifo chake kilizua maswali kilivyokua chenye utata, Je Serikali ya CCM haioni sasa ni wakati wakusimama na kutoa utata ulioibuliwa na Mbunge huyu?
hata kama wakinikolimba leo wataibuka akina Zitto wengi kupinga ufisadi
source habari ITV Tar. 14/5/2011 kauli hii ya mbunge wa CCM imekuja siku chache baada ya Nape Nauye kumpinga Mwenyekiti wa CHADEMA kuwa tuhuma anazotoa dhidi ya CCM kuhusika na Mauaji ni kufilisika kisiasa. sasa kama hata mbunge wa CCM anajua kuwa CCM inaua Je Nape ana usemi mwingine zaidi ya hapo?
kutokana kuwa HORACE KOLIMBA alikuwa mbunge wa Ludewa na kifo chake kilizua maswali kilivyokua chenye utata, Je Serikali ya CCM haioni sasa ni wakati wakusimama na kutoa utata ulioibuliwa na Mbunge huyu?