Mauaji Mererani yafunikwa

Mauaji Mererani yafunikwa

Mjomba wa taifa

JF-Expert Member
Joined
Apr 20, 2012
Posts
231
Reaction score
161
Siku ya jumamosi ya tarehe 29.7.2017 kulibainika kayaking ya wachimbaji wa madini wawili waliouawa kufuatia mapigano ya wachimbaji baina ya mgodi wa Tanzanite one dhidi ya mgodi maarufu kwa jina la "mhindi".

Katika mapigano hayo mtu mmoja alijeruhiwa macho yake yote mawili.

Asubuhi hiyo vyombo mbalimbali vya habari vilifika eneo la tukio lakini cha kushangaza hakuna chombo kilichotangaza kayaking hayo, japo gazeti la Nipashe liliandika kwa ufupi tarehe 30.7.2017.

Kufunika matukio kama haya kunatia dosari vyombo vya ulinzi na mamlaka husika.
 
Siku ya jumamosi ya tarehe 29.7.2017 kulibainika kayaking ya wachimbaji wa madini wawili waliouawa kufuatia mapigano ya wachimbaji baina ya mgodi wa Tanzanite one dhidi ya mgodi maarufu kwa jina la "mhindi".

Katika mapigano hayo mtu mmoja alijeruhiwa macho yake yote mawili.

Asubuhi hiyo vyombo mbalimbali vya habari vilifika eneo la tukio lakini cha kushangaza hakuna chombo kilichotangaza kayaking hayo, japo gazeti la Nipashe liliandika kwa ufupi tarehe 30.7.2017.

Kufunika matukio kama haya kunatia dosari vyombo vya ulinzi na mamlaka husika.

Mh. Rais alishakataa vyombo vya habari kuandika hizo habari za mapigano
 
Back
Top Bottom