Hili pekee halitoshi ila kikubwa ni kumwomba Mungu atulinde na kutuokoa na balaa hili. Mauaji yameongezeka sana kila kunapokucha wanausalama wameshindwa kupambana na hali na anayeweza ni MUNGU pekee kwa kumwomba atuongoze katika kupambana na hali hii ya kusikitishaJe yawezekana turudishe enzi za Lyatonga mrema (SUNGUSUNGU) ambapo kila ikifika saa1 jioni kila mwanaume anakuwa nje?