maskini kijana wa watu hakupewa 2nd chance .. ingekuwa katika nchi zenye sheria za kiislam angekatwa kiganja tu.. ile amputation ina hekima kubwa sana... bongo wezi wanapigwa kiberiti watu hawalii haki za binaadamu, nchi za kiislamu anafanyiwa simple kiganja amputation watu wanalia haki za binaadamu.