Maua Seminary - padre Ladislaus Mbundu amefariki

Maua Seminary - padre Ladislaus Mbundu amefariki

Kenge wengi, msafarani

Kwamtoro mbona unatukwaza, hizi sio siasa za chadema na ccm. Tumefiwa na mtu muhimu sana Tanzania ambaye amefanya kazi miaka 41 Maua Seminary yenye wawakilishi Tanzania Nzima kwenye sekta zote. wewe unaleta mizaha ya kwenu usandaweni. Tunakuomba ujiunge nasi kumwombea. tafadhali acha mizaha kwenye hili.
 
Kwamtoro mbona unatukwaza, hizi sio siasa za chadema na ccm. Tumefiwa na mtu muhimu sana Tanzania ambaye amefanya kazi miaka 41 Maua Seminary yenye wawakilishi Tanzania Nzima kwenye sekta zote. wewe unaleta mizaha ya kwenu usandaweni. Tunakuomba ujiunge nasi kumwombea. tafadhali acha mizaha kwenye hili.
kaka samahani sana kwa kukukwaza.
 
nimepata msg toka Maua kuwa Baba yetu mpendwa sana Mbundu amega dunia alfajiri ya leo huko hospitali ya Kibosho . Wanamaua na wote wenye mapenzi tumwombee apumzike kwa amani.

...REQUIEM:
Wafilipi 1:21

"kuishi ni Kristo na kufa ni faida."

Pumziko la Milele uwape ee Bwana, Na mwanga wa Milele uwaangazie, Wapumzike kwa amani...
Roho za waumini wapate rehema kwa Mungu, Wapumzike kwa amani. Amina
 
Back
Top Bottom