matusi ya lusinde Arumeru kumvua ubunge?

matusi ya lusinde Arumeru kumvua ubunge?

Eyoma

Senior Member
Joined
Sep 9, 2011
Posts
166
Reaction score
40
nauliza endapo sheria ni msumeno yale maporomoko ya matusi mbele ya watoto na kinamama yaliyotemwa na mbunge wa Mtera si kukiuka maadiliya uchaguzi?je anafaa kuendelea kuwa kiongozi wa wananchi?wazo langu .hafai kuwa mbunge na jimbo la mtera ni kama liko wazi tukisubiri hatua za kisheria..
 
Labda kesi ikasikiliziwe nchi nyingine lakini hapa na ccm hii hii..hana kesi ya kujibu!
 
nasubiri tamko rasmi la viongozi wangu makini kuhusu huyu mporomosha matusi
 
kosa akifanya mwana CDM ila likifanyika na mwana ccm ni haki kabisa,hv kati ya Lema na msh**z* Lusinde nani katukana afu viongozi wa nchi wamekaa kimya kweli tunaongozwa na kichwa-nazi!
 
Huyu ilifaa hata sasa awe mahakamani kwa mitusi yake,
Nashangaa hata viongozi wa chama chake wakimtetea!
Hivi hakuna namna wabunge kule mjengoni wakapendekeza huyu mtu avuliwe ubunge kwa kauli zake?
 
Huyu mbunge asiye na maadili anapaswa avuliwe madaraka,kweli kama tunataka kulinda sheria basi huyu mbunge anapaswa kushtakiwa mara moja.ngoja tusubiri tamko au labda itaundwa tume!
 
Achaeni kuota mchana kwa mahakama gani mtakayofungua watengue kiti cha magamba?
 
boss wake (mkama) ashasema lusinde alikuwa sahihi kuporomosha yale matusi,ndo nchi ilipofika hapo
 
nauliza endapo sheria ni msumeno yale maporomoko ya matusi mbele ya watoto na kinamama yaliyotemwa na mbunge wa Mtera si kukiuka maadiliya uchaguzi?je anafaa kuendelea kuwa kiongozi wa wananchi?wazo langu .hafai kuwa mbunge na jimbo la mtera ni kama liko wazi tukisubiri hatua za kisheria..

hata mi napenda iwe hvyo!
Lakini Lema alituhumiwa kutukana(japo uthbitisho ni giza tupu) na amevuliwa ubunge!
BAHATI MBAYA SANA,Hili haliwezekani kwa mbunge LUSINDE(Mhe?????)
Hii ni kutokana na ukweli kuwa,alipokuwa anatukana,hakuwa anagombea yeye!
Hapa yafuatayo yanaweza kufanyika:
1:Kama CCM\SIOI wangekuwa wameshnda,basi kes ingeandaliwa,na hapa Sioi(NAOA??) Angeenguliwa.
2:Kwa sasa Lusinde anaweza kukamata,na mahakama zetu zingekuwa huru,angefungwa jela kwa miaka isiyozidi mitatu na usio pungua mmoja.
3🙁Na hili ni pendekezo langu)
Kwa kuwa watanzania ni wakarimu na tunapenda kumsaidia mtu mwenye matatizo,basi tumsaidie Lusinde,maana hajui alitendalo!
Wengine wamejaribu kumsaidia kwa kumlaumu!
Wengine wamemsaidia kwa kumtukana!
Lakini Clauds Fm walifunika,maana walimwita ili wamwonye,na aombe msamaha,bali aliishia kuwatukana.
Mytake:
Lusinde ni mgonjwa.
Nilikuwa sina hakika na ugonjwa wake,Lakini clauds fm walipo mwita na akatukana,nilimsamehe bure na kwa sasa nashauri AKAMATWE HARAKA,AFUNGWE MINYORORO SITA NA KUWAHSHWA MILEMBE.
 
Fungueni kesi msikae kulalamika tu, kesi ya Lema mtaitumia kama reference

Aaa wapi? Hoja ya msingi itakuwa: Ni vipi matusi ya Lusinde huko Arumeru yaliathiri matokeo ya Ubunge Mtera?

Hiyo ndiyo sheria mazee, lakini msitegemee kwa kigezo cha matusi ya Arumeru avuliwe ubunge wa Mtera. Issue ya Lema ilikuwa kwamba "matusi yake yaliathiri matokeo ya ubunge" kama ambavyo Mahakama imeridhika na kuhukumu.
 
hata mi napenda iwe hvyo!
Lakini Lema alituhumiwa kutukana(japo uthbitisho ni giza tupu) na amevuliwa ubunge!
BAHATI MBAYA SANA,Hili haliwezekani kwa mbunge LUSINDE(Mhe?????)
Hii ni kutokana na ukweli kuwa,alipokuwa anatukana,hakuwa anagombea yeye!
Hapa yafuatayo yanaweza kufanyika:
1:Kama CCM\SIOI wangekuwa wameshnda,basi kes ingeandaliwa,na hapa Sioi(NAOA??) Angeenguliwa.
2:Kwa sasa Lusinde anaweza kukamata,na mahakama zetu zingekuwa huru,angefungwa jela kwa miaka isiyozidi mitatu na usio pungua mmoja.
3🙁Na hili ni pendekezo langu)
Kwa kuwa watanzania ni wakarimu na tunapenda kumsaidia mtu mwenye matatizo,basi tumsaidie Lusinde,maana hajui alitendalo!
Wengine wamejaribu kumsaidia kwa kumlaumu!
Wengine wamemsaidia kwa kumtukana!
Lakini Clauds Fm walifunika,maana walimwita ili wamwonye,na aombe msamaha,bali aliishia kuwatukana.
Mytake:
Lusinde ni mgonjwa.
Nilikuwa sina hakika na ugonjwa wake,Lakini clauds fm walipo mwita na akatukana,nilimsamehe bure na kwa sasa nashauri AKAMATWE HARAKA,AFUNGWE MINYORORO SITA NA KUWAHSHWA MILEMBE.

Mkuu!!
Du!!
Kimsingi na wewe umemtukana Lusinde na unastahli kushtakiwa!
Lakini LUSINDE akija kulalama hapa,utamwambia,"ONA,anazidi kupandwa na kichaa hapa,mwahshen hosp!"
wakimkamata na kumpeleka hosp,majibu ndio yataditamaini argument yangu ya wewe kutukana!
Mimi siwezi kumkamata Lusinde kuthbitisha tuhuma zangu kwako!
AAARGHHH!!
Kwenda zako,u great thinker ukizd matatizo matupu!
RESPECT,Though...
 
Back
Top Bottom