je kumweleza mtoto mdogo ,kuwa ulipokuwa kijana ulikuwa ,natabia mbaya kwa jamii
mfano "mimi nilikuwa mwizi kitu hakinipiti,"strarehe napenda hasa ngono ,pombeka sana
dansi mpaka asubuhi. je kuna ulazima wowote kumjulisha mwanao hayo yote?
je kumweleza mtoto mdogo ,kuwa ulipokuwa kijana ulikuwa ,natabia mbaya kwa jamii
mfano "mimi nilikuwa mwizi kitu hakinipiti,"strarehe napenda hasa ngono ,pombeka sana
dansi mpaka asubuhi. je kuna ulazima wowote kumjulisha mwanao hayo yote?
mzazi mara nyingi ni role model wa mtoto. Kwa hiyo ukimwambia mtoto mabaya tegemea na yeye atafanya hayo hayo, na mzazi hutakuwa na confidence ya kumkanya.
je kumweleza mtoto mdogo ,kuwa ulipokuwa kijana ulikuwa ,natabia mbaya kwa jamii
mfano "mimi nilikuwa mwizi kitu hakinipiti,"strarehe napenda hasa ngono ,pombeka sana
dansi mpaka asubuhi. je kuna ulazima wowote kumjulisha mwanao hayo yote?