Gola Magola
Member
- Jul 16, 2016
- 13
- 16
Habari wana JF, napenda kujuzwa jambo hili la jinsi ya kutumia hio sim card slot kwenye laptop, maana laptop nyingi zinakuja na hio slot na wengi wetu kama mimi hatujui jinsi ya kuzitumia.
mwenye kujua tafadhari nijuze.
asante.
mwenye kujua tafadhari nijuze.
asante.