Maisha ni Muda ukiwa kama kijana mwenye Miaka zaidi ya 40 ujafanya jambo la maendeleo lolote lile ya kufaa ufanye sasa kwa maana umesha tumia nusu ya Muda wako bila kufanya kitu. Fanya Sasa kamilisha Ndoto zako muda ulio ishi ni mrefu kuliko muda ulio bakia Tafakari na uwanze sasa