Dsm pekee inatumia magunia zaidi ya 200,000 ya mkaa kwa siku, ambapo misitu zaidi ya ekari 400,000 hukatwa kwa mwaka. Je malengo ya kupunguza matumiz ya mkaa hadi kufikia mwaka 2020 angalao misitu ikatwe mpk ekar 200,000 yatatimia???
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.