MUHA ASILIA
New Member
- Sep 29, 2011
- 2
- 0
Matumizi ya helkopta yanayo fanywa na vyama vitatu vikubwa hapa nchini yanathibitisha kuwa miundo mbinu ya barabara ni mibovu. katika kuthibitisha hili je kampeni za dar es salaam hufanywa kwa helkopta katika kata zake??? Hii ni aibu pia kwa chama tawala kuiga matumizi ya helkopta kwa kuwa wameshindwa kuboresha miundo mbinu yani ni sababu mojawapo ya kukosa kura. Nachelea kusema kuwa CHADEMA kinaweza kikao chama bunifu na makini sana katika kuwa na mipango na mikakati inayotekelezeka kwa kung'amua fursa mbalimbali zilizopo.
Magufuli je serikali itatupatia helkopta na sisi wanavijiji vya igunga ili tuwe tunaenda hospitali kwa urahisi au mkimaliza kampeni ndio basi tena hamrudi mpaka muwe na helkopta............magufuli hii ni aibu kwako.
Magufuli je serikali itatupatia helkopta na sisi wanavijiji vya igunga ili tuwe tunaenda hospitali kwa urahisi au mkimaliza kampeni ndio basi tena hamrudi mpaka muwe na helkopta............magufuli hii ni aibu kwako.