Jackbauer
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 6,068
- 2,225
Ama kweli watanzania ni watu wa ajabu.
Ukistaajabu ya Musa utayaona ya firauni!
Tunajua condoms zimelenga kuzuia maambukizi ya magonjwa ya zinaa na pia kuzuia mimba zisizopangwa!
Kautafiti kadogo kalikofanywa na watoa huduma za afya katika mkoa flani kameonyesha kuwa kwa sasa watu hawaoni aibu kuchukua condoms kutoka katika vituo vinavyotoa condoms.
Kumbe kuna matumizi mapya ya condoms...
1.condoms hutumika sana na wang'arisha viatu (shoeshinners).yale mafuta yanang'arisha viatu balaa!
2.Pia condoms hasa hasa za kike zinatumika kama vibebeo au vifichio vya bidhaa haramu au za wizi kama vile madawa ya kulevya au madini yanayofichwa ukeni na sometimes kwenye Makalio.
Ukistaajabu ya Musa utayaona ya firauni!
Tunajua condoms zimelenga kuzuia maambukizi ya magonjwa ya zinaa na pia kuzuia mimba zisizopangwa!
Kautafiti kadogo kalikofanywa na watoa huduma za afya katika mkoa flani kameonyesha kuwa kwa sasa watu hawaoni aibu kuchukua condoms kutoka katika vituo vinavyotoa condoms.
Kumbe kuna matumizi mapya ya condoms...
1.condoms hutumika sana na wang'arisha viatu (shoeshinners).yale mafuta yanang'arisha viatu balaa!
2.Pia condoms hasa hasa za kike zinatumika kama vibebeo au vifichio vya bidhaa haramu au za wizi kama vile madawa ya kulevya au madini yanayofichwa ukeni na sometimes kwenye Makalio.