Kwa nilivyokuwa naelewa, kabla ya uchaguzi wa Oct 31, 2010 ni kwamba Compyuta inarahisisha utendaji wa kazi. lakin katika hali ya kushangaza nimesikia matumizi ya kompyuta ndio yanayosababisha ucheweshaji wa matokeo ya uraisi. ninaomba msaada kwa hili.