EMT
Platinum Member
- Jan 13, 2010
- 14,483
- 15,308
Bajeti ya Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa inaonyesha matumizi ya balozi zetu kwa mwaka wa fedha 2011/2012 yatakuwa kiasi cha Shilingi za Tanzania kama ifuatavyo.
- Ubalozi wetu Umoja wa Mataifa (New York na Geneva) pekee utatumia 5,051,259,000/-
- Balozi zetu Ulaya ikiwemo Urusi - 12,481,913,000/-
- Balozi kwenye nchi nne Africa Mashariki - 3,746,956,000/-
- Balozi nyingine Afrika - 10,945,095,000/-
- Fedha za matumizi ni nearly half of ministerial vote
- Fedha zilizotengwa kwa mishahara ((Pensionable posts & non-pensionable) ubalozi wetu London ni 868,142,918/- (nyingi kuliko balozi zote)
- Fedha za mishahara ubalozi wa Kigali ni 80,201,559/- (ndogo kupita balozi zote)