Matumizi ya Balozi Zetu kwa mwaka 2011/2012

EMT

Platinum Member
Jan 13, 2010
14,483
15,308
Bajeti ya Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa inaonyesha matumizi ya balozi zetu kwa mwaka wa fedha 2011/2012 yatakuwa kiasi cha Shilingi za Tanzania kama ifuatavyo.

  • Ubalozi wetu Umoja wa Mataifa (New York na Geneva) pekee utatumia 5,051,259,000/-
  • Balozi zetu Ulaya ikiwemo Urusi - 12,481,913,000/-
  • Balozi kwenye nchi nne Africa Mashariki - 3,746,956,000/-
  • Balozi nyingine Afrika - 10,945,095,000/-
  • Fedha za matumizi ni nearly half of ministerial vote
  • Fedha zilizotengwa kwa mishahara ((Pensionable posts & non-pensionable) ubalozi wetu London ni 868,142,918/- (nyingi kuliko balozi zote)
  • Fedha za mishahara ubalozi wa Kigali ni 80,201,559/- (ndogo kupita balozi zote)
Mchanganuo zaidi wa matumizi kwa kila balozi: The biggest spending Tanzanian Embassies - Budget 2011/12 | Policy Forum
 
hilo janga tena kwa taifa maana balozi zetu ukifika zinatia kinyaa hata kusema huu ndio ubalozi wangu kwa mfano ubalozi wetu China ukifika utazani kama hakuna watu wanaoishi pale mbaya zaidi ingia kwenye vyumba ndio utafikiria hata kutaka kutapika. aibu sana kwa nchi inayokamilisha miaka 50 bila kuwa na mipango ya maana balozi ni nchi ni kioo kwa hiyo sioni ajabu kama kunahela nyingi sehemu moja lakini ukweli utabaki palepale hii ni laaana wa haihitaji elimu nikuona nakujua hakuna kitu ni mitaji ya wakubwa
 
  • Thanks
Reactions: EMT
hilo janga tena kwa taifa maana balozi zetu ukifika zinatia kinyaa hata kusema huu ndio ubalozi wangu kwa mfano ubalozi wetu China ukifika utazani kama hakuna watu wanaoishi pale mbaya zaidi ingia kwenye vyumba ndio utafikiria hata kutaka kutapika. aibu sana kwa nchi inayokamilisha miaka 50 bila kuwa na mipango ya maana balozi ni nchi ni kioo kwa hiyo sioni ajabu kama kunahela nyingi sehemu moja lakini ukweli utabaki palepale hii ni laaana wa haihitaji elimu nikuona nakujua hakuna kitu ni mitaji ya wakubwa

Matumizi ya ubalozi wetu Beijing kwa mwaka 2011/2012 ni sh 1,352,422,000. Ukilinganisha na uliyoyasema, haviendani.
 
Matumizi ya ubalozi wetu Beijing kwa mwaka 2011/2012 ni sh 1,352,422,000. Ukilinganisha na uliyoyasema, haviendani.

Havilingani vipi? Bora ungefafanuwa! Jee fedha ni nyingi kulingana na hiyo hali ilioko au fedha zilizotengwa ni kidogo kulingana na hali iliyonayo huo ubalozi?
 
  • Thanks
Reactions: EMT
Havilingani vipi? Bora ungefafanuwa! Jee fedha ni nyingi kulingana na hiyo hali ilioko au fedha zilizotengwa ni kidogo kulingana na hali iliyonayo huo ubalozi?

Soma post ya Mwanaweja hapo juu.
 
Walioko ughaibuni watuambie hali ya ofisi za balozi zetu nje,kwani pesa iliyotengwa ni kubwa sana sana.Twambieni wadau kisha tutathimini katika hali ya kawaida kuona kama kuna usambamba wa matumizi [proportionality].

Sorry kulisemea hili,uwa sipendezwi kusikia walioko ughaibuni wakiitwa wabeba maboksi,lakini nami nisingependa kushindwa kuhalalisha ni kwanini waliamua kuwaita hivyo.Ili kuthibitisha hilo fanyeni tafiti juu ya ofisi za balozi zetu huko ughaibuni kisha mtuletee.

Kwa watanzania ukiwauliza balozi za wenzetu tunajua hata kwa kutathimini kutoka kwa nje.Mfano ni lahisi kujua hali ya balozi ya USA kulinganisha na balozi ya nchi ya CUBA.

Twambieni wengine tushindwe kuhalalisha walioko nje kuitwa wabeba maboksi,kwa kuwa naona binafsi pesa zilizotengwa ni nyingii sana kwa balaozi ,mafano ni ubalozi wa Uingereza ni Nyingi sana kiasi iakaribia billion moja.
 
  • Thanks
Reactions: EMT
Hivi mleta thread alitarajia ku-achieve nini maana hujulikani kama unakosoa matumizi makubwa ya balozi zetu, au unadhani matumizi yanayohitajika ni makubwa kuliko makadirio yaliyopitishwa?
 
Soma post ya Mwanaweja hapo juu.

Mwanaweja namjuwa na wewe nakujuwa . Bado swali langu nalirejesha kwako. Pengine hatujuwi lengo halisi la wewe kuposti hii thread, jee ni kuonyesha ufujaji wa fedha au kuonyesha utowaji mdogo wa fedha? Kwani hata kule mjengoni "Wanacomedi" AKA Wabunge walizungumza hali mbaya ya mgao wa fedha kwa Balozi zetu. Unapolianzisha shangwe uwe tayari na libeneka!
 
  • Thanks
Reactions: EMT
Walioko ughaibuni watuambie hali ya ofisi za balozi zetu nje,kwani pesa iliyotengwa ni kubwa sana sana.Twambieni wadau kisha tutathimini katika hali ya kawaida kuona kama kuna usambamba wa matumizi [proportionality].

Sorry kulisemea hili,uwa sipendezwi kusikia walioko ughaibuni wakiitwa wabeba maboksi,lakini nami nisingependa kushindwa kuhalalisha ni kwanini waliamua kuwaita hivyo.Ili kuthibitisha hilo fanyeni tafiti juu ya ofisi za balozi zetu huko ughaibuni kisha mtuletee.

Kwa watanzania ukiwauliza balozi za wenzetu tunajua hata kwa kutathimini kutoka kwa nje.Mfano ni lahisi kujua hali ya balozi ya USA kulinganisha na balozi ya nchi ya CUBA.

Twambieni wengine tushindwe kuhalalisha walioko nje kuitwa wabeba maboksi,kwa kuwa naona binafsi pesa zilizotengwa ni nyingii sana kwa balaozi ,mafano ni ubalozi wa Uingereza ni Nyingi sana kiasi iakaribia billion moja.

Kutokana na maelezo ya watumishi wengi Balozini hali ni ngumu "hata kama hizo pesa zilizotengewa Balozi zingekuwa zikitolewa angalau nusu yake"
Ni madeni ni madeni tu kuanzia watumishi hadi huduma muhimu kama pango, fee za shule. matibabu na kadhalika. Hiyo pesa waliyotengewa kama ingekuwa kweli inawafikia basi wangelipa hayo madeni tu.
Halafu hiyo pesa na figure zake kubwa ni pesa ya madafu ikigeuzwa kwenye pesa hasa kama dola, euro, Omani real na nyenginezo inakuwa hali ya mfuto tu!
 
  • Thanks
Reactions: EMT
Hivi mleta thread alitarajia ku-achieve nini maana hujulikani kama unakosoa matumizi makubwa ya balozi zetu, au unadhani matumizi yanayohitajika ni makubwa kuliko makadirio yaliyopitishwa?

Mwanaweja namjuwa na wewe nakujuwa . Bado swali langu nalirejesha kwako. Pengine hatujuwi lengo halisi la wewe kuposti hii thread, jee ni kuonyesha ufujaji wa fedha au kuonyesha utowaji mdogo wa fedha? Kwani hata kule mjengoni "Wanacomedi" AKA Wabunge walizungumza hali mbaya ya mgao wa fedha kwa Balozi zetu. Unapolianzisha shangwe uwe tayari na libeneka!

Wakuu nimeweka hiyo taarifa kama nilivyoikuta. Lengo langu lilikuwa kuwafahamisha matumizi ya balozi zetu kwa mwaka wa fedha ujao. Kuna ubaya wowote hapo? Whether ni makubwa au madogo sijui kwa sababu sina nyenzo za kufanya analysis. Kama alivyosema Chapakazi hapo juu figures alone don't mean anything. Ni mpaka watu wenye ufahamu na matumizi ya fedha kwenye balozi watakapotoa analysis zao ndio tutajua kama fedha zilizotengwa ni nyingi au ni chache. Na kama post ya mkuu Ngekewa inavyoashiria, hizo fedha zinazotengwa hazipelekwi hata nusu. Watu wenye data wanaweza kutufahamisha kama hizi fedha ni nyingi au chache, au hazipelekwi zote. Naamini tunao hao watu hapa JF. Hilo ndilo lilikuwa dhumuni langu.
 
Wakuu nimeweka hiyo taarifa kama nilivyoikuta. Lengo langu lilikuwa kuwafahamisha matumizi ya balozi zetu kwa mwaka wa fedha ujao. Kuna ubaya wowote hapo? Whether ni makubwa au madogo sijui kwa sababu sina nyenzo za kufanya analysis. Kama alivyosema Chapakazi hapo juu figures alone don't mean anything. Ni mpaka watu wenye ufahamu na matumizi ya fedha kwenye balozi watakapotoa analysis zao ndio tutajua kama fedha zilizotengwa ni nyingi au ni chache. Na kama post ya mkuu Ngekewa inavyoashiria, hizo fedha zinazotengwa hazipelekwi hata nusu. Watu wenye data wanaweza kutufahamisha kama hizi fedha ni nyingi au chache, au hazipelekwi zote. Naamini tunao hao watu hapa JF. Hilo ndilo lilikuwa dhumuni langu.

Unajuwa ndugu yangu ulivyokuja hukutupa clue kama ulitaka mjadala hasa kutokana na maelezo ya source uliyotumia ambayo yalikwisha simama upande mmoja. Nawe kwa vile ulikaa kimya bila coment ilibidi tufikiri kuwa unakubaliana na msimamo wa source yako. Tumepoteza muda bure kukufunua msimamo wako wakati tungekuwa mbali sasa kukueleza jinsi hiyo pesa haifanyi chochote katika kuzifanya Balozi zetu ziwe na hadhi inayostahiki. Pengine laiti Wabunge wangelijuwa hali halisi ya Balozi zetu basi wangeirudisha hiyo Bajeti ya Mambo ya Nje kama ilivyofanywa ile ya umeme.
 
Back
Top Bottom