bitare
Senior Member
- Jul 13, 2023
- 192
- 563
Nimeona niandike japo kwa kifupi kuwa, chanzo kikubwa cha huduma duni za kijamii nchini kwetu kunasababishwa na matumizi mabaya ya pesa yanayofanywa na vingozi wa umma. Ukiachana na taarifa za Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Serilikali ambazo kila mwaka zinaonesha pesa nyingi kupotea na mbaya zaidi ni kutochukuliwa hatua kwa wanaosababisha upotevu huo.
Pesa nyingi zinatumika visivyo sahihi, fikiria kama kununua magoli kwa moja million 5 hadi 10 wakati huo watoto wakikaa chini madarasani kwa kukosa madawati au kama huyu aliemleta Diamond Mwanza kutumbwiza ili CHADEMA wasipate watu huku jiji hilo likiandamwa na mgao wa maji.
Hivi kweli viongozi mnaotuongoza mnauzalendo kweli?
Pesa nyingi zinatumika visivyo sahihi, fikiria kama kununua magoli kwa moja million 5 hadi 10 wakati huo watoto wakikaa chini madarasani kwa kukosa madawati au kama huyu aliemleta Diamond Mwanza kutumbwiza ili CHADEMA wasipate watu huku jiji hilo likiandamwa na mgao wa maji.
Hivi kweli viongozi mnaotuongoza mnauzalendo kweli?