singidadodoma
JF-Expert Member
- Nov 11, 2013
- 4,394
- 1,538
Wadau nimeona leo tujikumbushje matukio ya aibu ya CHADEMA ambayo chama hicho kiliyafanya baina ya mwaka 2010 mpaka mwaka huu tulionao. Baadhi ya matukio hayo ni kama ifuatavyo;
(1) CHADEMA ilisusia hotuba ya Rais Dr. Jakaya Kikwete wakati akitoa hotuba ya kufungua Bunge November 18, 2010 kwa kutoka nje ya bunge kwa madai ya kutomtambua rais, hili tukio lilikuwa la aibu kwa CHADEMA na kujidhalilisha na liliwaonyesha wananachi wa majimbo waliowachagua aina ya wabunge waliowachagua.
Tukio hilolilijidhihirisha kuwa wabunge hao ni magwiji wa uvunjifu wa sheria kwa kushindwa kuiheshimu katiba ya nchi walioahidi kuilinda wakati wakila kiapo rasmi cha kuwa wabunge . Licha ya kwamba baadaye walikuja kumuangukia Dr. Kikwete na kumtambua kuwa ni Rais halali wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania.
(2) Tukio lingine la aibu ni la mbunge wa chama hicho, Joseph Mbilinyi (Sugu) amabaye alitolewa nje kwa nguvu kwa kuburuzwa na askari wa Bunge baada kuanza kupiga askari hao wa bunge baada ya kukaidi amri ya Naibu Spika Ndugai kumtaka kutoka nje.
Tunaweza kuendeleza uzi huu kwa kuandika matukio tata ya chama hicho.
(1) CHADEMA ilisusia hotuba ya Rais Dr. Jakaya Kikwete wakati akitoa hotuba ya kufungua Bunge November 18, 2010 kwa kutoka nje ya bunge kwa madai ya kutomtambua rais, hili tukio lilikuwa la aibu kwa CHADEMA na kujidhalilisha na liliwaonyesha wananachi wa majimbo waliowachagua aina ya wabunge waliowachagua.
Tukio hilolilijidhihirisha kuwa wabunge hao ni magwiji wa uvunjifu wa sheria kwa kushindwa kuiheshimu katiba ya nchi walioahidi kuilinda wakati wakila kiapo rasmi cha kuwa wabunge . Licha ya kwamba baadaye walikuja kumuangukia Dr. Kikwete na kumtambua kuwa ni Rais halali wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania.
(2) Tukio lingine la aibu ni la mbunge wa chama hicho, Joseph Mbilinyi (Sugu) amabaye alitolewa nje kwa nguvu kwa kuburuzwa na askari wa Bunge baada kuanza kupiga askari hao wa bunge baada ya kukaidi amri ya Naibu Spika Ndugai kumtaka kutoka nje.
Tunaweza kuendeleza uzi huu kwa kuandika matukio tata ya chama hicho.