ni tukio mkuu.....ulifanya nini tena?Kuchukua sheria mkononi hivi nalo ni tukio la Valentine
Doh! kwani haukumtafuta tangu asubuhi?Baada ya majukumu ya kitaifa na kutafuta ugali hapo jana.........mida ya jioni nikaingia supermarket moja hapa jijini dar nikadaka baadhi ya vizawadi kwa ajili ya demu wangu.
Nimefika gheto nikaoga then nikampigia demu wangu huyo simu ili ikiwezekana nimpe kile nilichojipinda kama mtu wake......mara ya kwanza simu ikaita haikupokelewa........nikasubiri dakika tatu nikapiga tena kimya........nikapiga tena haikupokelewa.
Baada ya hapo nikatuma ujumbe mfupi...."baby upo wapi.....nahitaji kukuona baby"...........kwa haraka akareply "ndo unanikumbuka saivi".......nikashangaa sana.........Nikampigia simu tena hakupokea tena......ilikuwa mida ya saa 1 na nusu hivi usiku.
Basi bwana sababu nampenda sana yule binti nikamfuata jamaa angu mmoja tupo nae hapo kwa mtaa nikamuazima simu yake ili nimpigie huyu demu wangu since calls zangu hapokei.........kweli akapokea......"naniiii(nikamtaja jina lake).....nini tatizo mbona unanifanyia hivi?..........akajibu ."muda wote ulikuwa wapi kunitafuta.....ebu niache akakata simu"
Wakuu niseme ukweli niliumia mno........nikamrudishia jamaa simu yake nikawasha gari huku nimebeba zile zawadi nikaenda kimara mwisho nikazigawa kwa wale watu wanakuwepo pale darajani wakiomba msaada........nikarudi zangu geto nikalala zangu......Huyu demu wala msijali wakuu sitawaangusha nitafanya maamuzi sahihi kabisa kwake kwa alichokifanya.
Ni tukio gani ulikumbana nalo jana siku ya wapendanao?? liwe nzuri au jau kama langu.
yaan acha tu mkuu......hawa viumbe bhnaWanawake bhana!,wanataka simu wapigiwe,pesa wapewe,walindwe,uwajali,kwenye kugegeda umuandae yeye ni kuguna tu
Kila kitu wafanyiwe,hawa wajinga sio wa kuwaendekeza
Me wangu ndo nlijiapia jana ndo hitimisho langu nayeye baada ya kuniweka kwenye ufriend zone kwa miaka miwili.yaan acha tu mkuu......hawa viumbe bhna
Me wangu ndo nlijiapia jana ndo hitimisho langu nayeye baada ya kuniweka kwenye ufriend zone kwa miaka miwili
Aliniwish Happy valentine whatsapp nikasoma nikakausha.
Hahaha! itakua demu wake ana option nyingi za watu kama yeyeUna gari na unafanyiwa hivyo. Je sisi hata hatujui kuendesha si ni balaa
Sent from my 2201117TG using JamiiForums mobile app
Pole sana.Baada ya majukumu ya kitaifa na kutafuta ugali hapo jana.........mida ya jioni nikaingia supermarket moja hapa jijini dar nikadaka baadhi ya vizawadi kwa ajili ya demu wangu.
Nimefika gheto nikaoga then nikampigia demu wangu huyo simu ili ikiwezekana nimpe kile nilichojipinda kama mtu wake......mara ya kwanza simu ikaita haikupokelewa........nikasubiri dakika tatu nikapiga tena kimya........nikapiga tena haikupokelewa.
Baada ya hapo nikatuma ujumbe mfupi...."baby upo wapi.....nahitaji kukuona baby"...........kwa haraka akareply "ndo unanikumbuka saivi".......nikashangaa sana.........Nikampigia simu tena hakupokea tena......ilikuwa mida ya saa 1 na nusu hivi usiku.
Basi bwana sababu nampenda sana yule binti nikamfuata jamaa angu mmoja tupo nae hapo kwa mtaa nikamuazima simu yake ili nimpigie huyu demu wangu since calls zangu hapokei.........kweli akapokea......"naniiii(nikamtaja jina lake).....nini tatizo mbona unanifanyia hivi?..........akajibu ."muda wote ulikuwa wapi kunitafuta.....ebu niache akakata simu"
Wakuu niseme ukweli niliumia mno........nikamrudishia jamaa simu yake nikawasha gari huku nimebeba zile zawadi nikaenda kimara mwisho nikazigawa kwa wale watu wanakuwepo pale darajani wakiomba msaada........nikarudi zangu geto nikalala zangu......Huyu demu wala msijali wakuu sitawaangusha nitafanya maamuzi sahihi kabisa kwake kwa alichokifanya.
Ni tukio gani ulikumbana nalo jana siku ya wapendanao?? liwe nzuri au jau kama langu.
Kweli kabisa ila Jana nafikiri ndo imeeleweka vipenzi vikuu,vipenz visaidiiz na vipenz vishirikishi😂NDio maana hawatakoma kusema wanaume wote ni mbwa.
Aliona hukumtafuta so ametafutwa na mwingine.
NGoja akimwagwa atajileta kwako kwa spidi zote
😂😂😂Mimi jana yalonikuta aisee
Nliona tangazo moja la kazi January nikaona nitume CV nikasema unaweza kuta napata malisho mazuri zaidi
Ijumaa nikaona email wameniita interview Tuesday 1300
Nmefika interview ikaanza vizuri (lugha ya malkia) wameniuliza maswali kidogo kisha wakaniuliza kuhusu mshahara
La haula kabla sijataja nikaona interviewer soksi zake zimetoboka
Kipenzi kikuu ni dau kubwa tuKweli kabisa ila Jana nafikiri ndo imeeleweka vipenzi vikuu,vipenz visaidiiz na vipenz vishirikishi😂