Matrekta ya kulimia yanauzwa wapi hapa Dar?

Matrekta ya kulimia yanauzwa wapi hapa Dar?

Malyenge

JF-Expert Member
Joined
Jan 16, 2012
Posts
6,658
Reaction score
3,664
Wakuu habari za jioni.
Nauliza niwapi matrekta ya kulimia na majembe yake yanapouzwa hapa Dar?
Msaada tafadhali.
 
Jkt suma mwenge, na pale river side ukiwa unaenda uelekeo wa buguruni upande wa kushoto nimeona Ferguson zimepaki pale.
 
Jkt suma mwenge, na pale river side ukiwa unaenda uelekeo wa buguruni upande wa kushoto nimeona Ferguson zimepaki pale.
Panaitwa ubungo Bakwata jiran na Mi Casa bar au Atlas schools
 
Back
Top Bottom