Bani Israel
JF-Expert Member
- May 27, 2016
- 2,217
- 4,414
Ila ikifika saa kumi na mbili kabla ya giza wanapotea 🤣🤣🤣Hivi ni mimi tu ndio siwaoni hawa jamaa zetu tangu uchaguzi uishe sijaona kabisa polisi mwenye nguo nyeupe hata kama watakuwepo nadhani wamekuwa hadimu sana hawa ndugu zetu watoza ushuru kwa njia ya barabara? vipi pande zenu huko?
Tanzania nchi ya amani kakaHawaogopiii??
Michezo hiyooo, 😂😂😂😂😂Tanzania nchi ya amani kaka
Ukitaka kuona trafiki kila dakika endesha gari ukiwa na leseni imeexpire na huna bima.Hivi ni mimi tu ndio siwaoni hawa jamaa zetu tangu uchaguzi uishe sijaona kabisa polisi mwenye nguo nyeupe hata kama watakuwepo nadhani wamekuwa hadimu sana hawa ndugu zetu watoza ushuru kwa njia ya barabara? vipi pande zenu huko?
gari mbovu aisee utawaona sana ama uwe na kirikuu weee 🤣🤣🤣Ukitaka kuona trafiki kila dakika endesha gari ukiwa na leseni imeexpire na huna bima.
Hata ukiona shehe na kanzu kwa mbali unabadili uuelekeo😆😆😆gari mbovu aisee utawaona sana ama uwe na kirikuu weee 🤣🤣🤣
🤣Hata ukiona shehe na kanzu kwa mbali unabadili uuelekeo😆😆😆
...kabla ya uchafuzi
Matrafiki walienda kuongeza nguvu kulinda vituo vya polisi tangu tarehe 30 OctobaHivi ni mimi tu ndio siwaoni hawa jamaa zetu? Tangu uchaguzi uishe sijaona kabisa polisi mwenye nguo nyeupe.
Hata kama watakuwepo, nadhani wamekuwa hadimu sana hawa ndugu zetu watoza ushuru kwa njia ya barabara. Vipi pande zenu huko?
View attachment 3499202