7ya
Member
- Oct 10, 2015
- 43
- 0
WanaJF
Mimi matokeo yangu (ya kidato cha nne) yako kama ifuatavyo;
Chemistry-b
Biology-b
English-b
History-d
Civics-d
Geography-c
Mathematics-c
Kiswahili-c
Halafu sijapata shule. Je, kuna uwezekano wa kutafuta shule ya serikali kwa jitihada zangu mwenyewe?
Kwa mwenye msaada please nisaidie kwani siwezi kwenda private sababu sina uwezo.
Mimi matokeo yangu (ya kidato cha nne) yako kama ifuatavyo;
Chemistry-b
Biology-b
English-b
History-d
Civics-d
Geography-c
Mathematics-c
Kiswahili-c
Halafu sijapata shule. Je, kuna uwezekano wa kutafuta shule ya serikali kwa jitihada zangu mwenyewe?
Kwa mwenye msaada please nisaidie kwani siwezi kwenda private sababu sina uwezo.