matokeo yako ya la saba na kidato cha nne yalipotoka.

Nfumu

JF-Expert Member
Nov 13, 2016
611
697
Wakuu tukumbushane kidogo matokeo yako ya kidato cha nne na darasa LA saba yalipotoka ulikuwa wapi na unalikuwa unafanya nini ? Mimi ilikuwa hivi
-matokeo ya la saba yalipotoka nilikuwa na marafiki zangu kama watano hivi ambao tulikuwa tumetoka kuiba maembe kwa bibi flani hivi siku moja kabla ya x-mas narudi nyumbani naambiwa umefaulu aisee nilifulahi sana
-Ngoma February hio niko katikati ya ugomvi nimeshapigwa hapo then mshaji wangu ananilitea information kwamba nimegonga ziro dah sikurudi nyumbani mpaka siku ya pili jamaa anakuja kuniambia nilikuwa nakudanganya umepata two
Je wewe ulikuwa wapi ?
 
Nakumbuka yala 7 nilikuwa naenda kuchanja kuni kuna binti alinitangulia darasa so yy alikuwa form 1 na matokeowalikuwa wanapewa walm wakuu wayabandike shuleni kwao yule binti alivyoniona alinikimbilia kwa furaha huku sinaga ata mazoea nae aliniuliza we sindo flani flani nikamwambia yah akanikumbatia na kuniambia hongera umefaulu na darasa zina tuliofaulu ni watu 7 tu safari ya kuchanja kuni iliishia hapo kwa furaha niliokuanayo
Kidato cha nne yalinikuta niko matembezi nilifika tu nyumbani wakanipokea kama mgeni ilikuwa siku ya furaha sana
 
Back
Top Bottom