keepthefaithalive
Member
- Aug 4, 2014
- 44
- 15
Jamani hawa TRA ilikua warelease matokeo within 24 hours...kunani?
Mwenye kujua atujuze jamani...
Mwenye kujua atujuze jamani...
Wamebandika mkuu majina ya waliofaulu
Wapi mkuu,ama ni palepale diamond!?
Pale pale diamond
Wamebandika saa ngapi
Pale pale diamond
Sasa hawa jamaa hawajiongezi tu, wanataka nyomi kama ile irudi tena pale kwa ajili ya kusoma majina!!?
Saa tatu
Vp idadi ya waliyofaulu kwa ATO na wameitwa kwa oral ama ni written tena,maana kulikua na tetesi hiyo!?
Watu ni wachache tu wala hakuna nyomi watu walikata tamaa wakaondoka, na inasemekana kesho pale kuna uchaguzi unafanyika so inaweza kiwa ngumu kwa watu kuangalia majina but i think kuna wadau walikua wanapiga picha wanaweza ku udate if posbo
Msaada jamani, nimeshakata tiket ya kwenda Bukoba kesho, je oral kwa assistant tax officer ni lini?(provided nipo ama sipo) natanguliza shukrani!
Ato wapo kama 180 wameitwa oral inaanza juma tatu ila ato ni jnne
Vipi mkuu wamebandika majina pamoja na number ama ni number tu!?
Kuna mdau hapo juu amesema ni jumanne.