Matokeo ya usaili Polisi yafutwa

Matokeo ya usaili Polisi yafutwa

hiyo ni taarifa kutoka Nairobi,Kenya na sio TZ Source Mwananchi la Leo...

Uko right sana mkuu, Kenya ndio walitoa ajira za polisi elfu kumi, zoezi likatawaliwa na rushwa linarudiwa. Sasa huyu mtoa thread sijui ana matatizo ndani ya fuvu, lini serikali ya Tz iliajiri polisi elfu kumi kwa wakati mmoja.
 
elfu 10 c kweli maana form 6 walikua 608 na form 4 walikua 5411..... labda hesabu za memkwa ndio itakuja elf10
 
elfu 10 c kweli maana form 6 walikua 608 na form 4 walikua 5411..... labda hesabu za memkwa ndio itakuja elf10

Ahsante sana mkuu! nlitaka nishangae! tatizo kila mtu anataka kujfanya mwandish wa habar
 
Hapo sawa maana presha ilinipanda coz nna dogo langu kashapiga kila kitu kuhusu interview bado go head tuu
 
Mods hebu mshurikieni huyu kiumbe ataua watu kwa pressure.
 
Hizi ni nafasi za form four na six waliofanya usaili mwezi uliopita,walikua zaidi ya 10000 ,,mchakato ulighubikwa na sintofahamu
Source;nipashe la leo

kijana sometimes ukiamka asubuhi tafakari kwanza kabla hujafanya chochote usikurupuke kama hujui chochote
 
Back
Top Bottom