Matokeo ya usaili Polisi yafutwa

Matokeo ya usaili Polisi yafutwa

Larusai Mux

JF-Expert Member
Joined
Oct 24, 2012
Posts
980
Reaction score
280
Hizi ni nafasi za form four na six waliofanya usaili mwezi uliopita,walikua zaidi ya 10000 ,,mchakato ulighubikwa na sintofahamu
Source;nipashe la leo
 
Heee makubwa imekua kama uhamiaji tena sasa na wao watanyanganywa police kuajiri iwe inajiri wizara moja kwa moja ya mambo ya ndani kama uhamiaji walivyodharirishwa hahahahaha sasa wanasema tatizo nini hasa mpka wayafute??
 
...mchakato uligubikwa na sintofahamu...it needs some more clarifacation! mkuu weka taarifa kama kama inawezekana.
 
Mbona hilo nipashe la leo 3/11/2014 halina habari kama hiyo. Anyway wanaovuruga usaili na baadae kusababisha matokeo ya usaili kutenguliwa hembu wawachukulie hatua bac sio kuwachekea kwa sababu wanarudisha mambo nyuma na kutia hasara
 
Ina maana watu siku hizi wanapenda sana upolisi.
Kweli Simba akikosa nyama hata majani atakula.

Mkuu from a biological point of view simba hawezi kula nyasi na hata akila hazitameng'enywa kutokana kukosekana kwa kimeng'enyo(enzyme) kinaachofanya kazi hiyo.
 
hili gazeti mbona halina hiyo news? mtoa mada tusaidie habari kamili.
 
du ujue wadau hiz taasisi za umma zinawatu wanakaa muda mrefu sana matokeo yake wanazifananisha kama makampun yao binafsi hivyo wanaweka sheria na utaratibu nje na matokeo yake ndo haya tunaona mara polis mara uhamiaji na shida yanaongelewa magazetin kama siasa hata hawachukuliw ha2a so haya mambo hayataisha BoT nao wametangaza sasa sikia kitakachotokea
 
Hizi ni nafasi za form four na six waliofanya usaili mwezi uliopita,walikua zaidi ya 10000 ,,mchakato ulighubikwa na sintofahamu
Source;nipashe la leo





10000? hivi unaakili timamu! hebu parade hiyo kichwa yako vizuri ndo uje kwa mara nyengine.unainaksisha habari kwa kuijaza uongo kama watangazaji wa radio kwizera.kwikwkikwiiiiiiiiiioo
 
Ila f10 cdhan kama walifka? ebu mwenye data kamil atuletee hapa
 
hiyo ni taarifa kutoka Nairobi,Kenya na sio TZ Source Mwananchi la Leo...
 
Back
Top Bottom