Matokeo ya tra ass. Accountant

Matokeo ya tra ass. Accountant

Inakatisha tamaa sana. watu 3000+ post ni 50. simple ratio ni kwamba nafasi moja inagombaniwa na watu zaidi ya 60. Kitu ambacho hakiwezekani kabisa.

Ingekuwa fair nafasi moja igombaniwe na watu wasiozidi watano. I mean wangeita watu max 250 tu.
 
Inakatisha tamaa sana. watu 3000+ post ni 50. simple ratio ni kwamba nafasi moja inagombaniwa na watu zaidi ya 60. Kitu ambacho hakiwezekani kabisa.

Ingekuwa fair nafasi moja igombaniwe na watu wasiozidi watano. I mean wangeita watu max 250 tu.

Wizi mtupu
 
Inakatisha tamaa sana. watu 3000+ post ni 50. simple ratio ni kwamba nafasi moja inagombaniwa na watu zaidi ya 60. Kitu ambacho hakiwezekani kabisa.

Ingekuwa fair nafasi moja igombaniwe na watu wasiozidi watano. I mean wangeita watu max 250 tu.

Aitwe nani, aachwe nani. Ungeachwa ungelalamika kuwa umeachwa. Sasa umepewa nafasi, nalo unalalamika. Acha ujuaji
 
Polisi naomba msaada post # 3 tafadhali mkuu.

Naomba niwekwe sawa katika hili
 
Last edited by a moderator:
Wadau naomba tukubaliane kutokukubalina,niliitwa kwenye hiyo interview sema nilishindwa kufika coz nilikosa nauli ya kutoka kigoma kuja dsm,nikiwa naangalia matokeo ya waliofaulu..nimeona jina la jamaa niliyesoma nae pale IFM ameitwa kwenye oral interview...jamaa anajua accounts na saana na amepiga pepa zao module F may ni mara ya pili! tumefanya nae interviews zaidi ya moja bila mafanikio tukilalamika suala la rushwa na kujuana ikiwa ni pamoja na ile ya TANAPA..leo hii kuona ameitwa kwenye oral interview ambayo sio guarantee kwamba atapata kazi..napata imani kwamba it was a fair process...na kujua majibu ya maswali magumu ya NBAA!...NEXT TYM TUJIANDAE ZAIDI NA KUJIPANGA COZ KAMA UNAJUA UNAJUA TU..NA TUKUMBUKE KUNA WAAOJUA NA KUFAULU ZAIDI YA WANAOJUA..GUD LUK NEXT TYM!
 
of course na mie pia ni witness wa hilo, kuna jamaa nimesoma naye Udom pia kaitwa kwenye oral interview..kiukweli ni mtaalamu sana wa Accounts, kuitwa kwake kunanifanya niamini kuwa asilimia kubwa ya walioitwa hawapo biased. Hongereni sana mliofanikiwa, na ambao hatukufanikiwa tukaze buti, na tusiwe watu wa kulalamika kila mara. God's time is the best!
 
Hapo itakua walichukuliwa kwanza wenye connection zen nafasi zilizobaki wakapewa wenye uwezo wao bila shaka this tym kigezo cha gpa kilikua kinaongeza sifa.hongereni mliopita hatua hii.
 
Wadau naomba tukubaliane kutokukubalina,niliitwa kwenye hiyo interview sema nilishindwa kufika coz nilikosa nauli ya kutoka kigoma kuja dsm,nikiwa naangalia matokeo ya waliofaulu..nimeona jina la jamaa niliyesoma nae pale IFM ameitwa kwenye oral interview...jamaa anajua accounts na saana na amepiga pepa zao module F may ni mara ya pili! tumefanya nae interviews zaidi ya moja bila mafanikio tukilalamika suala la rushwa na kujuana ikiwa ni pamoja na ile ya TANAPA..leo hii kuona ameitwa kwenye oral interview ambayo sio guarantee kwamba atapata kazi..napata imani kwamba it was a fair process...na kujua majibu ya maswali magumu ya NBAA!...NEXT TYM TUJIANDAE ZAIDI NA KUJIPANGA COZ KAMA UNAJUA UNAJUA TU..NA TUKUMBUKE KUNA WAAOJUA NA KUFAULU ZAIDI YA WANAOJUA..GUD LUK NEXT TYM!

ni kweli kabisa, mie mwenyewe nimeitwa kwenye interview ya writen awamu ya pili bila ya kujuana na m2 yeyote iwe NBAA au TRA
Hii inaonyesha kuna fairnes
 
Haha kweli poleni kwa kupoteza nauli zenu Paper ni F3 ACCA 2011,kama ilivyo wakuu sasa hao 50 labda walipata 26++++++ hi ndio Bongo Baba yako ni nani kwenye hii nchi
 
Back
Top Bottom